Kwa nini siku hizi wanawake wanapenda kuwa single??

mbona sitemptiki! wanaume wa watu wakuwa deal ndio maana kuna infidelity! hata wangu najua anachunwa somewhere!

Kwa hiyo ina maana na wewe unachuna wa wenzio, sio??? Uzinzi ni dhambi mbaya sana na imekuwa sababu ya wengi kuharibu familia zao. Sitegemei wanawake ku-intertain hii kitu kwa kukubali kuwa ni sawa tu kwa waume zao "kuchunwa".
 
wanafaidi nini sasa, haya kama hao wa kwako wanafaidi kitu gani kama sio kuishia kukopwa?
Mbona wananiambiaga ahsante, na nisipowatafuta wananitafuta wao wakati sikuwakatia pochi?
 
U can this over and over again.
 
Kwa hiyo ina maana na wewe unachuna wa wenzio, sio??? Uzinzi ni dhambi mbaya sana na imekuwa sababu ya wengi kuharibu familia zao. Sitegemei wanawake ku-intertain hii kitu kwa kukubali kuwa ni sawa tu kwa waume zao "kuchunwa".

mm kama mm cwezi kamwe kutoka na mume wa mtu au mwanaume yeyote nje ya ndoa! lakini wataka nidanganye mume wangu ni mwaminifu hawezi kuchunwa wakati najua nadanganya?
 
Kwa hiyo ina maana na wewe unachuna wa wenzio, sio??? Uzinzi ni dhambi mbaya sana na imekuwa sababu ya wengi kuharibu familia zao. Sitegemei wanawake ku-intertain hii kitu kwa kukubali kuwa ni sawa tu kwa waume zao "kuchunwa".
Hawaintertain mkuu. Wanalazimika kukubaliana na hali halisi.
 
mm kama mm cwezi kamwe kutoka na mume wa mtu au mwanaume yeyote nje ya ndoa! lakini wataka nidanganye mume wangu ni mwaminifu hawezi kuchunwa wakati najua nadanganya?
Ewaaaaa! Sasa umeanza kuujua ukweli. Endelea kuishi na ukweli huu, na magonjwa kama presha utakuwa unayasikilizia kwa mbali. Sasa kuanzia leo uwe unamnunulia mmeo kondom ili asikuletee yale maradhi mengine. Sawa?
 
Ewaaaaa! Sasa umeanza kuujua ukweli. Endelea kuishi na ukweli huu, na magonjwa kama presha utakuwa unayasikilizia kwa mbali. Sasa kuanzia leo uwe unamnunulia mmeo kondom ili asikuletee yale maradhi mengine. Sawa?

shikamoo kaka asprin!
 
Jamani nani anataka kunichuna??
Nipo rechabo kwenye sector ya kuchunwa!!
please! hata Vitz nitatoa tu!! MAELEWENO yapo, inategemea aina ya bidhaa na ubora wake, na inakuja ikiwa attachments za aina gani na ubora gani!!!!.....hivi vyote vitakuwa vigezo vya ke-determine ukubwa wa uchunwaji utakaofanyika.
 
nilipata pressure nilipokua bado mdogo nilijitia kiherehere cha kutaka kmjua mwizi wangu, ci niliipata yani alikua dasophy hasa, maneno kama radio. sasa hivi nimekua mzoefu si babaiki tena.
Be good and keep the lesson in your good head Mom....u see life isn't that cruel.
 
Wapo kikazi zaidi baada ya kukosa nyama ya ulimi. F1 anajua hili. Pia somo la feminism limewaingia sana. Wengi walio singo ni wadada wasomi. Pia wana msemo unasema raha jipe mwenyewe usingoje kupewa. Sasa wanajipa hadi ile raha wanayopaswa kupewa kwa kutumia matango na maji ya vuguvugu.
 
Its true nawasupoort kabisa ukiwa single unakuwa huna pressure kabiga simu au hajapiga,ooh sijui weekend hii atanipigia au nini?na mara nyingi wanaume wa kibongo ukijitangazia ubusy say two weeks in arole lazima atakuwa curious na yeye ndio atakutafuta...mie hiyo naipenda zaidi....kuwa kikazi zaidi no pesha no what...
 
Kiongozi Kakakiiza
Kuwa kimaslahi zaidi ni sawa. Katika biashara yoyote hakuna anayependa hasara, hasara ikija iwe ni bahati mbaya. Mahusiano ni biashara. Sasa wanawake wakiangalia maslahi zaidi kuna tofauti gani na anayehama kazi kutafuta yenye maslahi zaidi?
Pili wanawake hawana matatizo kwenye hilo la kupenda waume za watu kwani linaendana na la maslahi zaidi...kumbuka "dunia ya sasa imani imekwisha, nyoyo za watu zimebadilika. Hata hakuna uaminifu tena, kwenye watu 10 binadamu mmoja... "
 
hehehehe hapo full raha mawazo ya mimba zisizotarajiwa na magonjwa ya zinaa unakuwa huna kabisa
 

Thanks Kaburunye maana umeongea kitu ambacho wengi wanafanya!!Naukitupa jiwe katika giza mara ukasikia mamaweee ujue limempata mtu!!kweli huyu Ros1980 yamemkuta ndiyo asema wote makorokocho!!Nazaidi wanaoumia niwale namtaka anipekitu fulani nasisi kwakuwa tunakutongoza kwa mbinu nyingi hujikuta umeangukia katika mikono ya waharifu wamapenzi hapo lazima aumie.!!
 

Kiongozi Mpambalyoto,
Nawaonea huruma kwani unapomtongoza mwanamke nimbinu nyingi hutumika kama vile zakivita nakumbuka Zilikuwa zikiitwa MM kwawale wa nation service!Sasa wakienda na na wazo lkima slahi hujikuta wanaangukia katika mikono ya waharifu maharamia(Pirates) Sasa basi na wanaume wanata huduma yenye uaminifu angalau 6mnth nakuendelea sasa hapo anaweza kutoa kile unachotaka!!Hila mada nikwanini wana wake wanda kuwa single??Tatizo mimi ninaona siyo wavumilivu!
 

Kama wa mjini wako hivi, nenda kwa wa shamba! Je, unataka kuoa? 1. uhusiano wa muda mrefu utampunguzia wigo wa soko, 2. waume wa watu hawawezi kuwa nao muda wote na mwingi, hivyo wana muda wa kutoa huduma kwingine, 3. ni wafanya biashara hao, ndio maana wanasisitiza 1 & 2. Kwa kifupi, wanatekeleza amri za shetani!!
 
Tamthilia hizi za kwenye TV zinawavuruga kwa sana!

mbona kwenye hizi tamthilia wengi wao wanakuwa na wapenzi wao wanaowapenda kwa dhati, wanapitia majaribu ya kila aina stili wanaendelea kuwapenda na mwisho wa tamthilia wanakuwa pamoja! nahisi ndo zingekuwa msingi mzuri wa kuwafundisha jinsi ya kupenda kwa dhati!
 
Waume za watu wanachunika kirahisi bwana anakuja na mastress yake unapoza unambembeleza ahahah wallet inafunguka yenyewe
mapenzi ya pesa kwangu ni sumu, nitafanya mapenzi na mtu niliempenda kwa dhati, hata uwe milionea kama sijakupenda ndio hivyo tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…