mbona sitemptiki! wanaume wa watu wakuwa deal ndio maana kuna infidelity! hata wangu najua anachunwa somewhere!
Mbona wananiambiaga ahsante, na nisipowatafuta wananitafuta wao wakati sikuwakatia pochi?wanafaidi nini sasa, haya kama hao wa kwako wanafaidi kitu gani kama sio kuishia kukopwa?
U can this over and over again.Sisi wataalam wa infidelity huwa haturudii vibinti. Ukisha hit una run.. Thats the first law of traditional infidelity. Hiyo forester ataikamatia wapi?
You can say that again.
Nakwambia hawa kina dasophy huwa wanachangia gharama kama unawapa huduma stahili. Najua mtabisha lakini ndiyo hali halisi.
You see? Huo ndio ukweli wenyewe. Huko nje tunaenda kufanya mazoezi. Mechi za mchangani muhimu sana kwa ajili ya kukuza ndoa...
Akili ya kuambiwa..... mix with yours!!
Tumezaliwa kwa kazi hiyo... Mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mwanaume mmoja ila mwanaume kwa hakika ameumbwa kwa ajili ya mwanamke zaidi ya mmoja. Mkiuelewa ukweli huu wala hamtapata shida.....HAMTAPATA TABU KWA KWELI........
Mbona wananiambiaga ahsante, na nisipowatafuta wananitafuta wao wakati sikuwakatia pochi?
Kwa hiyo ina maana na wewe unachuna wa wenzio, sio??? Uzinzi ni dhambi mbaya sana na imekuwa sababu ya wengi kuharibu familia zao. Sitegemei wanawake ku-intertain hii kitu kwa kukubali kuwa ni sawa tu kwa waume zao "kuchunwa".
Hawaintertain mkuu. Wanalazimika kukubaliana na hali halisi.Kwa hiyo ina maana na wewe unachuna wa wenzio, sio??? Uzinzi ni dhambi mbaya sana na imekuwa sababu ya wengi kuharibu familia zao. Sitegemei wanawake ku-intertain hii kitu kwa kukubali kuwa ni sawa tu kwa waume zao "kuchunwa".
Ewaaaaa! Sasa umeanza kuujua ukweli. Endelea kuishi na ukweli huu, na magonjwa kama presha utakuwa unayasikilizia kwa mbali. Sasa kuanzia leo uwe unamnunulia mmeo kondom ili asikuletee yale maradhi mengine. Sawa?mm kama mm cwezi kamwe kutoka na mume wa mtu au mwanaume yeyote nje ya ndoa! lakini wataka nidanganye mume wangu ni mwaminifu hawezi kuchunwa wakati najua nadanganya?
Ewaaaaa! Sasa umeanza kuujua ukweli. Endelea kuishi na ukweli huu, na magonjwa kama presha utakuwa unayasikilizia kwa mbali. Sasa kuanzia leo uwe unamnunulia mmeo kondom ili asikuletee yale maradhi mengine. Sawa?
This is a calculated move!!Basi nichune mimi. Pato la familia yako litakuwa linachangiwa na wanaume wawili, huoni kama ni dili hilo?
Be good and keep the lesson in your good head Mom....u see life isn't that cruel.nilipata pressure nilipokua bado mdogo nilijitia kiherehere cha kutaka kmjua mwizi wangu, ci niliipata yani alikua dasophy hasa, maneno kama radio. sasa hivi nimekua mzoefu si babaiki tena.
hehehehe hapo full raha mawazo ya mimba zisizotarajiwa na magonjwa ya zinaa unakuwa huna kabisaWapo kikazi zaidi baada ya kukosa nyama ya ulimi. F1 anajua hili. Pia somo la feminism limewaingia sana. Wengi walio singo ni wadada wasomi. Pia wana msemo unasema raha jipe mwenyewe usingoje kupewa. Sasa wanajipa hadi ile raha wanayopaswa kupewa kwa kutumia matango na maji ya vuguvugu.
[/U]
Hapa haongei mtu yanaongea majeraha. Pole, naona yamekukuta yakukukuta. Wanaume si makorokocho. Avoid generalization. Shida siku hizi wanawake wengi (sio wote) wanajirahisi sana mpaka thamani yao inapungua. Ukitulia na kujiheshimu lazima upate mme (nasema tena lazima). Lakini ukiwa mwarumwaru wavulana watakuchezea na kukuacha na baadae una-generalize kuwa wanaume ni makorokocho. Hakuna mwanaume anayependa kuoa mke mwarumwaru. Lakini kwa wale wanaopiga part-time mwarumwaru si taabu maana anajua ni temporary service.
Kiongozi Kakakiiza
Kuwa kimaslahi zaidi ni sawa. Katika biashara yoyote hakuna anayependa hasara, hasara ikija iwe ni bahati mbaya. Mahusiano ni biashara. Sasa wanawake wakiangalia maslahi zaidi kuna tofauti gani na anayehama kazi kutafuta yenye maslahi zaidi?
Pili wanawake hawana matatizo kwenye hilo la kupenda waume za watu kwani linaendana na la maslahi zaidi...kumbuka "dunia ya sasa imani imekwisha, nyoyo za watu zimebadilika. Hata hakuna uaminifu tena, kwenye watu 10 binadamu mmoja... "
Wadau nini haswa kimewaingia akina Dada haswa huku mjini hataki uhusiano wamda mrefu,
Pili wengi wanapenda waume za watu
Tatu Wapo kimaslahi zaidi mimi hiikitu inanishangaza sana utasikia mimi nina mumewa mtu ndo boyfriend wangu mume wamwenzio unasema ni Boyfriend wako jamani??!!!Ukimpata akaona unamganda lazima akutafutie sababu z.kukwaza ili hawe huru nisaidieni kwanini
Tamthilia hizi za kwenye TV zinawavuruga kwa sana!
mapenzi ya pesa kwangu ni sumu, nitafanya mapenzi na mtu niliempenda kwa dhati, hata uwe milionea kama sijakupenda ndio hivyo tena!Waume za watu wanachunika kirahisi bwana anakuja na mastress yake unapoza unambembeleza ahahah wallet inafunguka yenyewe