Kwa nini siku hizi Zitto Kabwe ameaamua kujachia midevu kibao

Kwa nini siku hizi Zitto Kabwe ameaamua kujachia midevu kibao

SubiriJibu

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2009
Posts
1,805
Reaction score
1,876
Hakuna aliyejua kwamba Sefi Sharrif Hamad ana midevu mingi wakati yuko serikalini. Alikuwa smart hana udevu hata mmoja. Lakini Seif alipofukuzwa CCM na kuwekwa gerezani, alipotoka huko akawa ni mtu midevu mingi hadi leo.

Sasa kuna huyu Zitto Kabwe. Huyu naye alipokuwa CHADEMA hakuwa hata na udevu mmoja. Alipofukuzwa CHADEMA akakaa miaka kadhaa naye akaanza kufunga midevu.

Tena mikwa usahihi zaidi ni kwamba midevu ya Zitto Kabwe imezidi baada ya kuoa na inaelekea haipitishi kitana.

Wataalam wa saikolojia saidieni kelimisha, asili ya midevu baada ya tukio fulani ina maana gani?
 
Kuna ndevu kizi achia zikiwa kwenye ustaarabu flani ... kwa maana nime chanwa vizuri , naku pakwa mafuta au kunyolewa kwa ufasaha kabisa... kuna ndevu kuzi achia zikiwa shagalabagala... naweza kusema msongo wa mawazo kuhusu jambo flani huweza kumsababisha mtu kuto kuji jali kwa muda flani ...
 
Atakuwa anakesha kwa wazee kusindikwa si unamuona alivyo iva hadi macho yameingia ndani
 
Waisilamu hufuga Ndevu baada ya Kuoa. Na Zitto ameanza kufuga Ndevu baada ya Kuoa.
 
Picha basi
mhenga.png
 
Back
Top Bottom