Kwa nini sikukutana na wewe mwanzo?

Pole NN Inatokea sana ila unatakiwa haraka sana ujirudi na kujitahidi kumsahau huyu mpya kabla hujaingia MAJARIBUNI.

Jamani kwa nini mnadhania ni mimi? Hii hali inaweza kumkuta yeyote yule.
 
Huo ni ukicheche tu, unaweza ukasema hivyo leo kisha baada ya wiki ukaona mwingine nae uatmuambia hivyo hivyo...?."Raha Ya Big G Mate Yako"
 
eti Godwine kwa nini sikukujua mwanzo???mweeeeeeeeeeeeeh
 

Hapa umenena ukweli. Wenzetu wazungu wako transparent, huwa wanaambiana ukweli kabisa kuwa 'nimempata ninayempenda zaidi samahani' na anayepewa ukweli huo, japo humuuma sana, lakini huelewa kuwa kuna hiyo 'spiritual love' ambayo haikwepeki. Baada ya kupeana ukweli, wanaachana na unaelekea pale moyo wako ulikoangukia.
 
Je, imeshawahi kukutokea ukakutana na mtu (wa jinsia tofauti) mka click sana kiasi cha kuanza kujiuliza kwa nini hukukutana naye mwanzo kabla ya kuwa/ kukutana na mtu uliye naye sasa? Kama imewahi kukutokea hivyo, ulikabiliana vipi na hali hiyo?

hahahaha ukibahatika kukutana na hali hiyo basi ushukuru Mungu, maana mpaka mapigo ya moyo huonyesha furaha ya aina fulani...but I plead the fifth...LOL...very good question.

 
Kutokana na hii elimu ninayozidi kupata hapa siku baada ya siku, nitasubiri tu mpaka atokee anayenipenda kweli. Tatizo ni jinsi ya kupima na kuthibitisha kuwa huu ni upendo wa kweli na si tu amependa 'mwili jumba' au hivi vijisenti kidogo ninavyopata kwenye mahangaiko yangu, au anataka mume kwa kuwa age mates wake wote wameolewa kabaki yeye, so is ready to settle with whomsoever cometh by! Kwa kweli niko tayari kubakia bachelor tu kuliko kuoa 'msanii'. Yaani hili linanikwaza sana hata kuji-commit kwa girlfriend nashindwa. Nina marafiki, na baadhi yao wasichana niko karibu nao sana mtu anaweza kudhani nita-propose hiki au kile, but nasita sana. Suala la kumega linakuwepo but strictly kwa condom, na siumii hata chembe nikisikia washkaji wengine wamemega hapohapo, sasa sijui kama hilo ni tatizo lingine, lakini surely nahisi hii kitu 'true love' ni bidhaa adimu sana.
 
Mtu B, Kweli True Love ni bidhaa adimu sana, na ni mbaya sana pale unapobahatika kuipata halafu haishikiki, thamani yake ya juu, au wewe uwe huna thamani kwake. Utatamani ukatishe maisha. Hii inatakiwa itokee both sides.
 

Kwa nini unahisi alishakufa? Kwa ngoma au? Maana unavyomsifia jua na wengine hivyo hivyo!!! Halafu kama mmepoteza mawasiliano jua yeye alikuwa kimaslahi zaidi na alimpata mwenye maslahi ya juu!!!! ndiyo maana akapoteza network!!! Kwa kawaida kama mmependana kiukweli kila mmoja atamtafuta mwenzake!!!! Huyo pengine kashapukutika na huu upepo wa ugonjwa wa juliana!!! Kuna mahali walianza kuu-nickname hivyo kabla haujawekwa wazi HIV/AIDS or UKIMWI!!! Pole I am kidding sir/madam!!! Naona Radio One warudishe kile kipindi cha kumtafuta uliyepotezana naye siku nyingi!!! Unajua kilisaidia sana watoto kuwapata wazazi wao ambao pengine walizaliwa na baba kapotea au wakati wa mimba au wakiwa wachanga, hivyo thruuu hadithi za mama zao then waliweza kutafuta wazazi wao!!!! Da kule Mzumbe watoto wengi walipatikana kule midizini!!! Mpaka leo kule maeneo jirani na Mzumbe (Moro) kuna watoto design ya mitaani na baba zao ni maofisa somewhere!!! Please, kama ulikuwa na mshikaji enzi unasoma Mzumbe na pengine alikuambia ana ujauzito ukapiga chenga naomba urudi pale fanya trace then DNA mkaokoe wale watoto na wajukuu wa damu zenu!!! Inatisha ukusimuliwa, .....mama/bibi aliniambia kuwa baba yangu alikuwa anasoma hapa Mzumbe ila sijawahi kumuona.... ehe....ukimtizama ana funza kibao miguu iko upande, nguo zimechanika, makalio yanaonekana utafikiri maasai amevaa rubega!!! Hii nimeiweka ni off topic kiasi fulani ila imepeleka ujumbe wa tuwatafute tuliopoteleana nao, hasa akiwa ni binti ulimpa mimba basi fuatilia yule mtoto atakuwa anateseka chakula, malazi, mavazi na elimu wakati hao tulio nao wapo International Schools!!!

 
hahahaha ukibahatika kukutana na hali hiyo basi ushukuru Mungu, maana mpaka mapigo ya moyo huonyesha furaha ya aina fulani...but I plead the fifth...LOL...very good question.


When your heart stops and then it starts beating again....when your composure is gone....ooooh my! What can I say...
 
Jinsi ya kumjua rafiki wa kweli na wa uwongo ni kumpitisha kwenye majaribu. Kama ni wa kweli atahimili, kama ni wa uongo utamwona mwelekeo wake. Kazi!
 
Je, imeshawahi kukutokea ukakutana na mtu (wa jinsia tofauti) mka click sana kiasi cha kuanza kujiuliza kwa nini hukukutana naye mwanzo kabla ya kuwa/ kukutana na mtu uliye naye sasa? Kama imewahi kukutokea hivyo, ulikabiliana vipi na hali hiyo?

Imewahi kunitokea..Kwa vile ni penzi jipya nikaona yaani huyu mtu alikuwa wapi siku zote mana alinikosha!..Tatizo ni kuwa hali kama hii mara nyingi hutokea tayari una mtu mwingine hivyo kukabiliana nayo ni ngumu mana upo rltshp na bado umechanganywa na mwingine..kazi si ndogo!
 
When your heart stops and then it starts beating again....when your composure is gone....ooooh my! What can I say...

Yeah! It is something very very special....and you keep on smiling 24/7 hata ukiwa usingizini....ah! Jamani!
 
Mtu B, Kweli True Love ni bidhaa adimu sana, na ni mbaya sana pale unapobahatika kuipata halafu haishikiki, thamani yake ya juu, au wewe uwe huna thamani kwake. Utatamani ukatishe maisha. Hii inatakiwa itokee both sides.

That is very true my friend.
 


BJ, ndiyo hapo utasikia Mke wa fulani kamkimbia mumewe nasikia anaolewa na fulani, au Mume wa fulani kamkimbia/kamuacha mkewe inasemekana anamuoa fulani. Na baada ya muda harusi inakuwa kweli. Binadamu wote tuna mapungufu lakini yana hitilafiana sana. Mapungufu ya binti A yanaweza kuwa na ahueni kubwa sana ukilinganisha na ya binti B, na vivyo hivyo mapungunfu ya mwanaume A yanaweza kuwa ni makubwa sana ukilinganisha na mapungufu ya mwanaume B
 
When this happens its mostly about comparison...seeing what is missing in what you have currently. Believe me its never worth it...some infact turn out to be total losers and dissapointments.

It is just a cliche. Some just have a personality, and they will click uptenth times....but haina maana it was meant to be that person.
 

duh sijui hata kama nimekuelewa..haya maboksi bana...thanks anyway
 
Ilishanitokea mkuu. Sina la kusema. I confessed and be a born again.
 

Kweli kabisa BAK usemayo, mwisho wa siku unakuta umeruka majivu na kukanyaga moto kutokana na mchakamchaka wa penzi jipya kumbe hamna malaika duniani..Sasa unakuta ukimpenda mtu na amekuchangaya huambiwi wala kusikii chochote,sijui inakuwaga ni nini?!.ukishamsaliti mtu uliyekuwa nae ndo unaona du!same issues!! huh!!
 
Mimi kuna mdada hapa
huwa najiuliza hivyo hivyo.....
But sijaonanana nae phisically

she knows it......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…