unajua dear, hapo ndipo penye tatizo la msingi, mwanume anapotongoza hudevelop passion juuu ya mwanmke na anapochumbia, huwa anafanya procurement of his sweet heart,
jamani ndio vionjo vyenyewe, tukiheshimiana sana tunapunguza ladha ya ile kitu. kaangalie filamu ya "unfaithful" utakuta mume alimheshimu sana wife kumbe masikini hakujua kwa kuzidisha heshima anamnyima ile kitu roho inapenda! kusumbuliwa, kutukanwa, kuchokozwa, nk. mama alipokutana na mwanaume asiyemheshimu, alikuwa crazi crazy crazi, anafakamia matunda ya edeni hata kwenye misala ya restaurant anatoa, kwenye makorido, antoa wima, chali, mgongomgongo nk. anaswaga tu..........crazi crazi kuna fundisho pale na si filamu tu.
heshima nawapa, kumbuka dada yangu siwezi kumuita demu, lakini kwa wanume wengine ni demu tu. hata wewe kaka yako huwezi kumuita doli, lakini kwa wadada wengine wanajinafasi kwa kita doli langu, nk. ndizo passion zenyewe jamani.
halafu umekwepa hoja ya msingi ya yule demu mjinga anayesubiri talaka yake kwa kujiumauma na kiingereza chenye kigugumizi. unaona pale uwa kama akinyimwa access na simu ndio ndoa itadumu, akini akipewa, siki za ndoa zinaanza kuhesabika.
nafikiri kwa sababu hatujui mwanamke gani ana akili na nani mjinga, basi blanket policy iwe "marufuku kushika simu yangu" hata huyo DC arobaini zake bado hazijafika. ngoja basi FL1 ampe no yake halafu amseve FL1 na mkewe aone tumeseji kaa ma dearest, sweet, uone kama patakalika.
mpendwa mie sikujui personally lakin nakuhakikishia nikutana na wewe nikakuita my dame, na ninavyojua kuchombeza, utafurahi na utasahau sera zako zote za beijing, hadi kesho yake ndo utakumbka kmbe uko na akili kichwani!!!!!!!!!
ndo maumbile ya Mungu hayo..........................