Kwa nini sipati mimba??

Dr. Wansegamila; Naishi na mume wangu,mara 2-3 kwa wiki,sijawahi kuugua magonjwa ya njia ya uke/UTI,mzunguko wangu wa MP siyo regular,naenda siku 3 na damu ni chache sana.
Unavyosema mzunguko wako wa hedhi siyo regular can you quantify that? kwa mfano unaweza ukapitisha miezi mingapi bila kupata period kabla ya kupata period tena?? halafu hujajibu do you feel when you ovulate?? halafu fuata maelekezo ya chief Muciprocin@ hapo, malizia kujibu maswali yangu then nitarudi kwa mchango wangu
 
Last edited by a moderator:
Mupirocin; Nisaidie hizo hesabu kwa mzunguko wa siku 21 unakuwaje?

hili swali limeulizwa kwa mupirocin naomba nimsaidie. Kwa mtu mwenye siku 21 ovulatioo hutokea siku ya saba hivyo unatakiwa kucheza ndani ya siku hizo.
 
hili swali limeulizwa kwa mupirocin naomba nimsaidie. Kwa mtu mwenye siku 21 ovulatioo hutokea siku ya saba hivyo unatakiwa kucheza ndani ya siku hizo.

nimeshamjibu chief, ovulation inaweza kutokea kati siku 6-14 kwa mtu mwenye mzunguko wa siku 21:
 
Tatizo la familia isiyofanikiwa kutunga mimba ni frequency ya kufanya mapenzi. Inakuwa kama panadol yaani mara tatu kutwa. Na wanafanya hivyo kwa sababu hamu ya kupata mtoto inakuwa kubwa lakini wanasahau kuwa mbegu za kiume zinatakiwa kukua na kufikia uwezo wa kutungisha mimba. Kama ndivyo hivyo, inatakiwa mke atengane na mume wake kwa zaidi ya mwezi mmoja na kuhakikisha mume hafanyi mapenzi katika kipindi hicho.
 
kwa mzunguko wa siku 21 fanya hivi. 21/2= 10.5, approximately 11. 11+3= 14, 11-5= 6, hivyo kama mzunguko wako ni siku 21 siku za hatari/kupata mimba ni kati ya siku 6-14. Ahsante.
 
Unavyosema mzunguko wako wa hedhi siyo regular can you quantify that? kwa mfano unaweza ukapitisha miezi mingapi bila kupata period kabla ya kupata period tena?? halafu hujajibu do you feel when you ovulate?? Miez 2,No dr.
 

mwambie dk wa ma dk Yesu.yote yawezekana kwake aminiye mengine binadamu hawawezi
 
Dr Wansegamila MP yangu huwa haiko kwenye mtiririko naweza kuchelewa,kuwahi au kupitisha bila kupata kabisa,na pale ninapopata huwa napata kwa maumivu makali sana ya chini ya kitovu na kiuno na naenda kwa siku zisizozidi 3.
 


je mwenye siku 28 na damu inaanza kutoka 14 na inatoka kwa siku 3?
nisaidie hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…