Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,968
- 8,139
Unavyosema mzunguko wako wa hedhi siyo regular can you quantify that? kwa mfano unaweza ukapitisha miezi mingapi bila kupata period kabla ya kupata period tena?? halafu hujajibu do you feel when you ovulate?? halafu fuata maelekezo ya chief Muciprocin@ hapo, malizia kujibu maswali yangu then nitarudi kwa mchango wanguDr. Wansegamila; Naishi na mume wangu,mara 2-3 kwa wiki,sijawahi kuugua magonjwa ya njia ya uke/UTI,mzunguko wangu wa MP siyo regular,naenda siku 3 na damu ni chache sana.
Last edited by a moderator: