kwanza sitta anastahili kushtakiwa kwa matumizi mabaya ya pesa za serikali, ilikuwaje ajenge ofisi kubwa ya spika jimboni kwake urambo??? kwani huko ndiko makao ya spika au makao ya mbunge wa urambo?? ina maana alifikiri angekuwa spika milele?hatatoka wala kufa?? ina maana sasa anna makinda nae akajenge ofisi jimboni kwake njombe? na ikitokea makinda akatoka akaja spika mwingine toka lindi nae akajengewe ofisi jimboni kwake??
taarifa ngapi dhidi ya sitta za matumizi mabaya ya fedha za ofisi, mahusiano yake ya hovyo na wanawake? aargh, wote wachumia matumbo tu.
huyu sitta ni mpambanaji kweli ila ni mpambanaji wa masuala yake na tumbo lake na pia yale ambayo aninterest nayo tu, hana lolote, ni mnafiki mkubwa, mbona amekubali kunyamazishwa ndani ya CCM? si angetoka kama alivyotoka mpendazoe?? binafsi naamini walioko CCM ni wanafiki wakubwa na hawana lolote la kutaka kuleta maendeleo ya kweli nchi hii
taarifa ngapi dhidi ya sitta za matumizi mabaya ya fedha za ofisi, mahusiano yake ya hovyo na wanawake? aargh, wote wachumia matumbo tu.
huyu sitta ni mpambanaji kweli ila ni mpambanaji wa masuala yake na tumbo lake na pia yale ambayo aninterest nayo tu, hana lolote, ni mnafiki mkubwa, mbona amekubali kunyamazishwa ndani ya CCM? si angetoka kama alivyotoka mpendazoe?? binafsi naamini walioko CCM ni wanafiki wakubwa na hawana lolote la kutaka kuleta maendeleo ya kweli nchi hii