Kwa nini "ss" au "tt" ?


Kwa kweli huhitaji msaada. ni kusumbua tu
 

Huku Kenya UGANDA hutamukwa YUGANDA. kuitamka UGANDA ni kwa runinga wakati wa habari pekee..ama katika somo la kiswahili. Matamshi halili ya KENYA ni KEN halafu YA. Hata wazungu hawasemi Kinya bali Kinia, au Kenia
 
Huku Kenya UGANDA hutamukwa YUGANDA. kuitamka UGANDA ni kwa runinga wakati wa habari pekee..ama katika somo la kiswahili. Matamshi halili ya KENYA ni KEN halafu YA. Hata wazungu hawasemi Kinya bali Kinia, au Kenia


Asante mkuu kwa sahihisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…