Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei inakuzwa na wauzaji na pia wle importers! Zanzibar asilimia kubwa wana maadili. Vichaa wapo ila wengi upande wa biashara wana maadili na wanafuata miongozo ya mamlaka husika.Zanzibar kuna viwanda vingapi vya sukari wakuu, mbona wao bei iko chini.. huku kwetu chai imeshakuwa anasa sasa...
sio kweliHawaitozi kodi ipasavyo, na hiyo hupelekea viwanda vyao vya ndani kufa kwa kushindwa na ushindani wa sukari zilizo-expire toka brazil
leo tuzungumzie sukariWaulize na wao mchanga ni shingapi.
mbna hapa kama serikali imepandisha na sio kushushaBei inakuzwa na wauzaji na pia wle importers! Zanzibar asilimia kubwa wana maadili. Vichaa wapo ila wengi upande wa biashara wana maadili na wanafuata miongozo ya mamlaka husika.
Bara inakuzwa na wauzaji na importers.
Fair playing ground....mbna hapa kama serikali imepandisha na sio kushusha
Ukweli ni upi?sio kweli
Aiseedodoma wiki iliyopita soko kuu majengo duka moja hivi nilinunua 2600, leo nimepita nikasema kwakuwa waziri kaongelea sukari kuwa bei ishuke ngoja nipite nikachukue kama kilo moja niweke akiba ndani, napita maduka mengi wanajifanya sukari hakuna, duka moja nimeikuta wanasema 3000. Nikawaita wasenge nikawasha usafiri wangu nikasepa bila kununua. Nimemkuta mwenye duka na mfanyakazi...nimetamka shit wote wakisikia. Tanzania ina wauaji wengi sana ambao wamejificha kwenye kimvuri cha ustaarabu
Waulize na wao mchanga ni shingapi.
Hawaitozi kodi ipasavyo, na hiyo hupelekea viwanda vyao vya ndani kufa kwa kushindwa na ushindani wa sukari zilizo-expire toka brazil
usihalilishe ujinga kwa upumbavuUkweli ni upi?
Zanzibar kuna viwanda vingapi vya sukari wakuu, mbona wao bei iko chini.. huku kwetu chai imeshakuwa anasa sasa...
hizi story za kuhadithiwaSasa Mtu muda wote anakula Samaki na Supu yake iwe asubuhi, mchana na usiku Chai na Sukari Kwake vina Thamani gani?
Ujinga unaohalalishwa ni upi?usihalilishe ujinga kwa upumbavu
nini kinafanya sukari ipande wakati mkurugenzi wa mtibwa sugar na kilombero walihojiwa kakasema wao kama kiwanda bado hawajabadili bei ya sukari, Ina maana kiwandani bado bei ni ileileUjinga unaohalalishwa ni upi?
Na sababu ni hiyo hiyo, havitozwi kodi stahiki, na ndio maana wengi wanaotaka kuleta bidhaa Tanzania huwa wanafanya uhuni kwa kuviingiza kwanza Zanzibar halafu wanakuwa wanavileta Bara kwa bandari bubu, hasa spea za pikipiki, Sukari na mafuta ya kula