Kwa nini sukari kwa upande wa zanzibar haizidi Tsh 1,800/= kwa kilo, Wao wana viwanda vingapi?

Kwa nini sukari kwa upande wa zanzibar haizidi Tsh 1,800/= kwa kilo, Wao wana viwanda vingapi?

nini kinafanya sukari ipande wakati mkurugenzi wa mtibwa sugar na kilombero walihojiwa kakasema wao kama kiwanda bado hawajabadili bei ya sukari, Ina maana kiwandani bado bei ni ileile
Demand and Supply, lazima bei icheze kulingana na upatikanaji wa bidhaa, ili mwenye kisu kikali ndio ale nyama, ila pia kuna middlemen ambao hufanya uhuni wa kununua bidhaa yote kiwandani kisha wanaificha kwenye maghala yao halafu wanauza kidogo kidogo kwa bei ya kulangua, hawa waziri mkuu alishawakemea na serikali inaendelea kutafuta maghala ambayo yanaficha sukari, na ukikamatwa unaficha sukari hiwa inataifishwa yote
 
Labda kodi wanayotoza kwa waagizaji wa sukari ni ndogo na nafuu kuliko huku.
 
Unatetea upuuzi bila hata aibu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila Usitegemee subsidies za serikali. Wafanya biashara nao wanafanya biashara kwa faida sio kukulisha wewe tu.
Hapo WAMEKUTANA KATIKATI. Serikali imepanda na wao wameshuka! Fairness! Hutaki acha!
Nipe na wewe point zako tuzione..
 
Demand and Supply, lazima bei icheze kulingana na upatikanaji wa bidhaa, ili mwenye kisu kikali ndio ale nyama, ila pia kuna middlemen ambao hufanya uhuni wa kununua bidhaa yote kiwandani kisha wanaificha kwenye maghala yao halafu wanauza kidogo kidogo kwa bei ya kulangua, hawa waziri mkuu alishawakemea na serikali inaendelea kutafuta maghala ambayo yanaficha sukari, na ukikamatwa unaficha sukari hiwa inataifishwa yote
Upuuzi mtupu.

Mbona jana waziri kapandisha bei ya sukari mwenyewe kwahiyo na yeye ni middleman aliyeficha sukari ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa ila Usitegemee subsidies za serikali. Wafanya biashara nao wanafanya biashara kwa faida sio kukulisha wewe tu.
Hapo WAMEKUTANA KATIKATI. Serikali imepanda na wao wameshuka! Fairness! Hutaki acha!
Kuna kipi kilichosababisha Sukari kupanda wakati hakuna ongezeko la kodi lolote kwenye bidhaa hiyo ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa ila Usitegemee subsidies za serikali. Wafanya biashara nao wanafanya biashara kwa faida sio kukulisha wewe tu.
Hapo WAMEKUTANA KATIKATI. Serikali imepanda na wao wameshuka! Fairness! Hutaki acha!
Nipe na wewe point zako tuzione..
Wamekutana katikati kwa lipi wakati hakuna genuine reasons za sukari kupanda bei ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipi kilichosababisha Sukari kupanda wakati hakuna ongezeko la kodi lolote kwenye bidhaa hiyo ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Gharama za ku-import sukari au kutengeeza sukari sio kodi tu...
kuna transport, hapa unaongelea pia mafuta, je soko la maruta likoje? kuna manpower, hapa unaongelea kipindi hiki cha korona je wafanyakazi wote wanazalisha inavyotakiwa? Kuna miscalleneous cost kibao ambazo wewe hujui..
 
Bei inakuzwa na wauzaji na pia wle importers! Zanzibar asilimia kubwa wana maadili. Vichaa wapo ila wengi upande wa biashara wana maadili na wanafuata miongozo ya mamlaka husika.
Bara inakuzwa na wauzaji na importers.
Kwahiyo unataka kutuhaminisha kitengo husika cha serikali haki wajibiki?basi kiwape tenda kampuni binafsi kama kazi ni ngumu kwao kama TRA wanavyo toka tenda za minada na ukamataji wa wakwepa kodi.
 
Znz hiyo ni nchi nyingine,kwa hiyo wanautalatibu wao.
 
Wamekutana katikati kwa lipi wakati hakuna genuine reasons za sukari kupanda bei ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sababu zipi ambazo wewe unaona zitasababisha bei ya sukari ishuke? Tuanzie hapo, labda majibu unayo ila unahitaji kufikirishwa na mwingine kwanza ili kujua. Ebu tuanzie hapo kwanza.
 
Demand and Supply, lazima bei icheze kulingana na upatikanaji wa bidhaa, ili mwenye kisu kikali ndio ale nyama, ila pia kuna middlemen ambao hufanya uhuni wa kununua bidhaa yote kiwandani kisha wanaificha kwenye maghala yao halafu wanauza kidogo kidogo kwa bei ya kulangua, hawa waziri mkuu alishawakemea na serikali inaendelea kutafuta maghala ambayo yanaficha sukari, na ukikamatwa unaficha sukari hiwa inataifishwa yote
Nini maana ya biashara huria sasa kama serikali inaingilia kati na kupanga bei!?
 
Gharama za ku-import sukari au kutengeeza sukari sio kodi tu...
kuna transport, hapa unaongelea pia mafuta, je soko la maruta likoje? kuna manpower, hapa unaongelea kipindi hiki cha korona je wafanyakazi wote wanazalisha inavyotakiwa? Kuna miscalleneous cost kibao ambazo wewe hujui..
Unaongea maneno matupu.

Mafuta yamekuwa kwenye steep decline toka mwezi December halafu yapandishe Sukari ?

Transport nimepanda vipi wakati mafuta yameporomoka bei ?

Kimsingi mnataka kuhalalisha hoja ya kuwanyonya wananchi kwa udhaifu wa serikali yenu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo unataka kutuhaminisha kitengo husika cha serikali haki wajibiki?basi kiwape tenda kampuni binafsi kama kazi ni ngumu kwao kama TRA wanavyo toka tenda za minada na ukamataji wa wakwepa kodi.
Serikali imefeli yenyewe mzigo inawatwisha wananchi.

Tunaserikali ya ajabu sana hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sukari huku kwetu kwa sasa ni Tsh 4000 na Mende ya mchanga Cubic meter 14-16 wanauza 220,000 -250,000/= inategemea na umbali kuingia ndani.
 
Na sababu ni hiyo hiyo, havitozwi kodi stahiki, na ndio maana wengi wanaotaka kuleta bidhaa Tanzania huwa wanafanya uhuni kwa kuviingiza kwanza Zanzibar halafu wanakuwa wanavileta Bara kwa bandari bubu, hasa spea za pikipiki, Sukari na mafuta ya kula
Havitozwi KODI STAHIKI AU KODI YAO NI NDOGO? kulinganisha na HAPA? na kwanini SUKARI NA MAFUTA YA KUTOKA ZANZIBAR NI MARUFUKU KULETA BARA?_TATIZO nn MKUU? hata MAGARI PIA,,YANATOKA HUKU yanapelekwa ZANZIBAR, ,,baadae YANARUDISHWA TENA huku na namba za Zanzibar... Shida nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MCHANGA ni kwa wanaotaka KUJENGA,,,,JE? WATU wote wanajenga? SUKARI NI KWA WATU WOTE,,kila MTU anataka KULA,,AU KUNYWA NA CHAI...kwa kifupi ZANZIBAR VITU VINGI BEI CHINI...sukari,,mafuta,,used spears,, USED HOME THEATRES,,TVS..na kama INCHI NI MOJA kwann WENZETU wana BEI CHINI?Zanzibar GUEST HOUSE TU NDY GHARAMA JUU TOFAUTI NA BARA,,,,
Bara kuna afadhari ya mchanga huko kuna afadhari ya sukari hilo ndo namaanisha hamuwezi lingana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fair playing ground....
Sukari inazalishwa na wengine na pia inanuniwa na watu kutoka nje, nao wanafanya biashara! Nina uhakika hayo yamefanyika kwa kuangalia pande zote mbili na kukutana katikati.
Nafikiri sababu hamna "Monopoly", katika biashara ya sukari Zanzibar.
 
Back
Top Bottom