Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
- Thread starter
-
- #21
Wapi nimeleta ligi hapo ..nimefananisha tabia za watu wa pwani ya Kenya na Tanzania na kuona ni moja ni kama nilivyofananisha watu wa bara wa Kenya na Tz..
Brother naona umetokea pwani , sasa hiyo inferiority yako usituletee wengine ambao hatuhusiki.. Hakuna asiyejua watu wa pwani mpo vizuri kwenye ustaarabu wa ndani ya nyumba,ukarimu , kucheza ngoma za kiasili , jando ,unyago na vyakula.. out of that sijaona sifa nyingine na nzuri zaidi hata wewe mwenyewe hujaziona na ndio maana hujazitaja...
Ni kama mchagga anijie juu kisa kumuambia kuwa ni mzuri katika biashara lakini bahili au wahaya ni wazuri katika elimu lakini wanapenda kujikweza ...sasa sijajua ni nini kilichokupanikisha RELAX MZEE
Mimi sina hiyo unayoiita inferiority complex, labda wewe ndo unayo kwani sijawahi kukutana na mtu wa Pwani ambaye hata huwa anaongea khs haya mambo ya kudharau na kukejeli wengine isipokuwa watu kama nyie ndo kila siku hapa hushinda kutukana na kukejeli watu Pwani na ni upi mchango wa Mchaga kwa TZ unaoungelea ukilinganisha na Pwani?