Kwa nini Tanzani na Kenya zinafanana sana mambo yake?



Mimi sina hiyo unayoiita inferiority complex, labda wewe ndo unayo kwani sijawahi kukutana na mtu wa Pwani ambaye hata huwa anaongea khs haya mambo ya kudharau na kukejeli wengine isipokuwa watu kama nyie ndo kila siku hapa hushinda kutukana na kukejeli watu Pwani na ni upi mchango wa Mchaga kwa TZ unaoungelea ukilinganisha na Pwani?
 
Samahani bro huwa sina kawaida ya kubishana na watu bila mantiki ..sijamshusha wala kumkweza mtu maana nimeongelea mtazamo wangu ambao unaegemea katika uhalisia wa niliyoyaona na wala sipo biased ..
Uwe mchagga mzaramo au mbena ..wote ni watanzania na binadamu mwisho wa siku

I'm sorry kama nimekupa any wrong impression...
 
Duh kuna kazi na shughuli hii ni shughuli
 
Eneo lote la Africa mashariki kama lilivyowahi kuwa koloni la muingereza na ndivyo hivyo baadhi ya mambo yetu tunayaendesha kwa kufanana. Kama makoloni yasingeanzishwa kwa hakika Afrika ingeonekana hivi:
 
wakenya kwa kujipa promo!!!hata hivyo mi mwenyewe nairobi ilinichanganya kidogo lifestyle yenu,lugha ile sheng dah ilikuwa inanimix,japokuwa sikuja kutafuta maisha,ikabidi nirudi tu bongo!!
note:maisha ya nairobi mnayaweza wenyewe wakenya doh!
 
naona hujamuelewa jamaa,soma vizuri umuelewe jamaa anajaribu kueleza kitu gani..
 
Hili la Tanganyika ,umetuuzia chai kutoka wikipedia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…