Kwa nini Tanzania ni maskini?

Kwa nini Tanzania ni maskini?

superstar1

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2014
Posts
222
Reaction score
176
Mi kila siku najiuliza "kwa nini Tanzania ni maskini?' Na jibu sipati. Najiuliza kwa sababu naona ni kama watu wana majibu ya kila swali. Humu humu JF uliza swali lolote, hata liwe technical vipi, mijitu inajibu bila wasiwasi na ni majibu yenye logic. Ikitokea problem yoyote watu wanakuwa walikuwa tayari na plan ya nini kilitakiwa kifanyike ili problem hiyo isitokee!!

Na watu hawa wote wapo makazini na wengine kwenye biashara zao flani. Sasa kama watu wana majibu yote na plan zote na solution zote, kwanini bado kasi yetu ya maendeleo ni ndogo hivi???? Na rasilimali zingine zote tunazo kibao!
 
Profesa wa kichina alisema hajui kwanini Tanzania ni maskini!!
 
Ni maskini kwa sababu ya ufisadi uliokithiri.
 
Mi kila siku najiuliza "kwa nini Tanzania ni maskini?' Na jibu sipati. Najiuliza kwa sababu naona ni kama watu wana majibu ya kila swali. Humu humu JF uliza swali lolote, hata liwe technical vipi, mijitu inajibu bila wasiwasi na ni majibu yenye logic. Ikitokea problem yoyote watu wanakuwa walikuwa tayari na plan ya nini kilitakiwa kifanyike ili problem hiyo isitokee!!

Na watu hawa wote wapo makazini na wengine kwenye biashara zao flani. Sasa kama watu wana majibu yote na plan zote na solution zote, kwanini bado kasi yetu ya maendeleo ni ndogo hivi???? Na rasilimali zingine zote tunazo kibao!

simple sana... kwa sababu ni masikini. this is according to the slogan says "you are poor bse you are poor"
 
Back
Top Bottom