Kwa nini technology inayotumika kutuma signals za Channeli za TV isitumike kusambaza intaneti?

Kwa nini technology inayotumika kutuma signals za Channeli za TV isitumike kusambaza intaneti?

hapo bado kuna issue ya packet routing kitu ambacho satellite haiwezi kufanya
 
Moja kwa moja naomba nijibu swali kwa lugha rahisi au nyepesi , swala hili haliwezekani kwa sababu kadha

  • Mawasiliano ya satellite yanafanyika kwa njia ya broadcast na multicast, katika njia zote hizi satellite pekee ndio hutuma signal TV zenyewe hufanya kupokea tu, hii inatofautiana na mawasiliano katika internet ni back and forth japokuwa internet pia inafanya broadcast na multicast, hii inamaana gani katika internet unapotuma request lazima kuwe na response provided kwamba unicast na multicast hazitumiki hivyo basi ni kusema kwenye internet kila mtu ni source na ni destination japokuwa sio kila wakati lakini mawasiliano mengi ya internet yanafanyika hivyo
  • Mawasiliano ya sattelite kama TV yanafanyika baina ya point mbili ambazo zipo katika fixed position hii inamaanisha kwamba kusudi kupata strong signal inabidi receiver yako kuwa aligned na sattelite katika special angle then inakuwa fixed , dunia inapokuwa inazunguka na satellite pia inakuwa inazunguka pamoja na dunia hivyo ina-maintain the same position and angle, lakini katika mawasiliano ya internet node huwa zinakuwa zina-move mfano mtu anatembea huku anatumia huduma kama vile youtube au facetime hivyo haiwezekani ku-maintain the same angel alignment na satellite
  • Sababu nyingine watu wanabidi kutembea na receivers mfano simu yako itumie receiver ambayo itakuwa juu ya kichwa chako, alafu inabidi kuhakikisha kwamba hiyo receiver haiwezi kuwa blocked na majengo milima na vinginevyo. Pia kipindi cha mvua kutakuwa na shida ya network.
Sawa lkn hapo juu tushaona linawezekana na tyr kuna watu wanafanya kama vile konnect

Wao wanakupa toolkit fln unafungiwa nyumbani kwako au ofisini, lkn technical details kama vle kuconvert hio halfduplex comm kuwa full duplex na khs stationary points na packets routing sijajua wanafanyeje.
 
Nafikiri inawezekana. Nilijaribu kusoma kuhusu CABLE & DSL Technology.

CABLE technology ni teknolojia ya kuunganisha Internet kwa kutumia infrastructure za TV (King'amuzi), kinachoongezeka ni CABLE Moderm ambayo inakuwa connected na king'amuzi kupitia port ya RJ-45 kisha hiyo Cable Moderm inakuwa na ports za RJ-45 mbili ili kukonnect na computers zako. Unaweza ku extend number ya ports kwa kutumia switch.

Pia CABLE Moderm zingine zinakuwa zina support wireless technology, hivyo unaweza kuaccess internet kwa smartphone yako.

Tatizo ving'amuzi hivi vya AZAM havina hizo ports (RJ-45 / RJ-11).
Pia infrastructure yao hai-support bandwidth kwa ajili ya internet.

Japo inawezekana kwa makampuni kama AZAM, STARTIMES, na DSTV kuwekeza kwenye distribution of internet. Kikubwa ni ku-upgrade infrastructure iweze kussuport. Pia hardware yao iwe na ports ambazo ni applicable.

Uwezekano upo.
 
Hello bosses,

Niko hapa na-code huku naangalia Azamtv, kiukweli wana graphics kali sana. Sasa nikawa najiuliza hivi hio speed ya transmission inachezea kwenye mb/s ngapi kwa sababu nikisema niangalie video yenye quality hio kwa kutumia intaneti kwanza inabidi niwe na bando la kutosha na pia niwe sehemu ambapo kuna 4g ili video isikwame kwame.

Nikafikiria tena kwa nini hiohio technology isitumike kusambaza huduma ya intaneti? Mie sio mtaalamu wa issue za ving'amuzi na madish lkn kwa ku-analyze kwa juujuu naona kama vile inawezekana, sijui ni nini kinakwamisha hilo?

Kama ukisema gharama ndio inakwamisha sidhani kama ni kweli coz bundle mfano la azam halizidi 20K kwa mwezi?

Anyway kiufupi ni nini kinakwamisha hilo?


CHIEF MKWAWA dronedrake Mshana Jr
Hii kitu ulio ongelea sio hii ya elon mask kweli!!? Ila hapa tz kwa sera zetu za kodi itakua ghali kuliko huduma tulizo zoea japo kwingine mask alipofika ni cheap sana kuliko hizi huduma tunazopata
 
mkuu, TV , upande wa TX (transmission) , ina 'broadcast' ie: wanarusha matangazo, so yapo mda wote hewani, ni wewe ku tune kwa channel uitakayo ( simplex ), end user haombi, hatumi request , ana tune frequency, mambo yanaonesha

haiwezi kua duplex, maana hakuna server upande wa TV-TX

TV inatumia routing fupi, mfumo wa kusafirisha data sio complex, em imagine , Transmitter > Minara > Receiver ( antenna ya mtumiaji ) - Kwa Terrestrial na Transmitter > Satellite > Receiver - Kwa Satellite

kwa Internet ni complex, data ianze kwa antena ya simu, Cell Site Antenna, BTS, BSC, MSC, haya iende kwa Gateway kuu ya ISP , iende kwa Tier1,2 na 3 ... mpaka ifike kwa Server ( assume server ipo Marekani ) hoi, hapo umetuma request tu

Aya jibu lirudi kupitia njia iyo iyo, routing/switching ni ndefu na complex, latency(ping) kubwa, data rate(bps) ndogo
We ndo umejibu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kuna bandiko moja nililisoma walielezea hicho kifaa kinaweza tumika kwenye dish kupata sign za internet
Screenshot_20230326-223904.jpg
 
mkuu, TV , upande wa TX (transmission) , ina 'broadcast' ie: wanarusha matangazo, so yapo mda wote hewani, ni wewe ku tune kwa channel uitakayo ( simplex ), end user haombi, hatumi request , ana tune frequency, mambo yanaonesha

haiwezi kua duplex, maana hakuna server upande wa TV-TX

TV inatumia routing fupi, mfumo wa kusafirisha data sio complex, em imagine , Transmitter > Minara > Receiver ( antenna ya mtumiaji ) - Kwa Terrestrial na Transmitter > Satellite > Receiver - Kwa Satellite

kwa Internet ni complex, data ianze kwa antena ya simu, Cell Site Antenna, BTS, BSC, MSC, haya iende kwa Gateway kuu ya ISP , iende kwa Tier1,2 na 3 ... mpaka ifike kwa Server ( assume server ipo Marekani ) hoi, hapo umetuma request tu

Aya jibu lirudi kupitia njia iyo iyo, routing/switching ni ndefu na complex, latency(ping) kubwa, data rate(bps) ndogo
Hola😅😅😅
 
Back
Top Bottom