Kwa Nini Timu za Tanzania Zinakwenda Uturuki?

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
KOCHA mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Boniface Mkwasa ametoa orodha ya wachezaji 22 watakaosafiri usiku wa jumapili kuelekea nchini Uturuki kwa kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria Septemba 05, 2015.

Timu Nyingine iliyowahi kufanya hivyo ni Yanga chini ya 'MANJI'

Nakumbuka pia Simba iliwahi kuondoka 'NCHINI NA MIPIRA' Kuelekea Ufaransa mji wa Nice wakati huo chini ya Ufadhili wa Azim Dewji ati kwa ajili ya mazoezi pia
 
Nawaza wanaenda kibiashara zaidi huenda sembe inahusika maana wakitoka huko ni kuoga magoli tu. Sidhani kijiografia na na ki hali ya hewa Uturuki inafanana na Nigeria.
 
mu-sir yuko sawa..
ni sembe tu hapo, siunajua wale hawakaguliwi airport khvyooo#
 
mtu asije akakudanganya hata siku moja mkuu, ambao hawakaguliwi ni members wa political delegations tu mfano akija waziri mkuu wa uingereza maybe, raisi wa nchi jirani na wengine kama hao ila wote waliobaki hata awe papa Francis anakaguliwa
 
Nawaza wanaenda kibiashara zaidi huenda sembe inahusika maana wakitoka huko ni kuoga magoli tu. Sidhani kijiografia na na ki hali ya hewa Uturuki inafanana na Nigeria.
umenena vyema walau hata wangekewnda kennya
 
mtu asije akakudanganya hata siku moja mkuu, ambao hawakaguliwi ni members wa political delegations tu mfano akija waziri mkuu wa uingereza maybe, raisi wa nchi jirani na wengine kama hao ila wote waliobaki hata awe papa Francis anakaguliwa
ni sawa kabisa
 
mtu asije akakudanganya hata siku moja mkuu, ambao hawakaguliwi ni members wa political delegations tu mfano akija waziri mkuu wa uingereza maybe, raisi wa nchi jirani na wengine kama hao ila wote waliobaki hata awe papa Francis anakaguliwa
hakuna lisilowezekana chini ya jua
 
mkalale sasa mlio mbadaa mrudi kwenyu
 
Airport zetu,akuna shida at a tembo wnapita tu na kupanda ndege
 
Heading Na Content Ni Tofauti!, Mtwara- Na ziwa Victoria, Mbalimbali, Viroba Vibaya Sana Aisee
 
Na Saleh Ally, Kartepe
Kikosi cha Taifa Stars kimeendelea na mazoezi yake mjini hapa licha ya kuwa kuna ukungu mkubwa ukiotanda.

Stars imewasili kwenye mji huu takribani Kilomita 200 na ushee kutoka jiji la Istanbul ambao ndiyo mji mkubwa zaidi hapa nchini Uturuki na kuweka kambi kujiandaa na mechi yake dhidi ya Nigeria Septemba 5.



Jana kikosi hicho chini ya Kocha Boniface Mkwasa kiliendelea na mazoezi kwa zaidi ya saa moja na nusu.


Wachezaji walifanya mazoezi makali ya kukimbia kabla ya kuendelea na mazoezi mengi chini ya Mkwasa akisaidiana na Hemed Morocco.
Stars inatarajia kuendelea na mazoezi leo Saa 5 Asubuhi na baada ya hapo itakuwa na mapumziko kwa kuwa kunatarajiwa kuwa na mechi ya kirafiki kesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…