Kwa Nini Treni ya SGR Haifanyi Kazi Masaa 24?

Kwa Nini Treni ya SGR Haifanyi Kazi Masaa 24?

K A B U R U

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2011
Posts
891
Reaction score
1,199
Kipindi cha nyuma, mabasi yalikuwa yanazuiwa kufanya safari usiku.

Sababu za alinacha zilitolewa na baadae kupinduliwa bila juhudi zozote za kuondoa sababu hizo za alinacha tulizokuwa tunaaminishwa.

Hivi Sasa mabasi yanasafiri 24 hours na safari za usiku ndio zenye mwitikio mkubwa wa wateja.

Sasa, ni kwa nini Treni ya SGR haina 24 hours services, huku ikiwa haina zile sababu za alinacha?
 
Inadekezwa sana
Kipindi cha nyuma, mabasi yalikuwa yanazuiwa kufanya safari usiku. Sababu za alinacha zilitolewa na baadae kupinduliwa bila juhudi zozote za kuondoa sababu hizo za alinacha tulizokuwa tunaaminishwa.
Hivi Sasa mabasi yanasafiri 24 hours na safari za usiku ndio zenye mwitikio mkubwa wa wateja.
Sasa, ni kwa nini Treni ya SGR haina 24 hours services, huku ikiwa haina zile sababu za alinacha?
 
Kipindi cha nyuma, mabasi yalikuwa yanazuiwa kufanya safari usiku. Sababu za alinacha zilitolewa na baadae kupinduliwa bila juhudi zozote za kuondoa sababu hizo za alinacha tulizokuwa tunaaminishwa.
Hivi Sasa mabasi yanasafiri 24 hours na safari za usiku ndio zenye mwitikio mkubwa wa wateja.
Sasa, ni kwa nini Treni ya SGR haina 24 hours services, huku ikiwa haina zile sababu za alinacha?
Wazo zuri ila kuna hatari
 
Train ya mwendokasi na yale mabasi ya Dar mwendo kasi ni vema yafanye safari masaa 24, hiyo ndiyo maana halisi ya kutoa huduma kwa jamii.
 
Umeme wetu wa mazabe likikwama polini huko si abiria wataliwa na Simba..
 
Back
Top Bottom