Kwa nini tulipigania Uhuru wa Tanganyika?.

Kwa nini tulipigania Uhuru wa Tanganyika?.

Kwahiyo unamaana kuwa hiyo ndio sababu ya yanayotokea leo katika nchi hii?

Watanganyika hawakupigania UHURU wa nchi yao?

Unamaana UHURU wa Tanganyika wale wazee 17 waliletewa kwenye kisosi tu?

Hebu fafanua zaidi mkuu!
Hoja yako ilikuwa nzuri sana, isipokuwa iliharibiwa na madai ya kumwagika damu!

Kila mtoto wa shule ya chekechea Tanzania anajua Tanganyika haikupigania uhuru kwa damu, hata chekechekea za kata zinalijua hili.

Inaweza kuonekana ni kitu kidogo sana, Watanzania hatujali vitu vidogo vidogo, lakini kwangu nikisoma kitu kama kile, najiuliza hivi huyu mtu kweli unajua chochote kuhusu historia ya nchi hii mpaka aje kutupa prescription hapa za matatizo yetu ya leo?
 
Hoja yako ilikuwa nzuri sana, isipokuwa iliharibiwa na madai ya kumwagika damu!

Kila mtoto wa shule ya chekechea Tanzania anajua Tanganyika haikupigania uhuru kwa damu, hata chekechekea za kata zinalijua hili.

Inaweza kuonekana ni kitu kidogo sana, Watanzania hatujali vitu vidogo vidogo, lakini kwangu nikisoma kitu kama kile, najiuliza hivi huyu mtu kweli unajua chochote kuhusu historia ya nchi hii mpaka aje kutupa prescription hapa za matatizo yetu ya leo?

Tangu sasa anza kujenga taswira pana zaidi, tunaposema harakati za ukombozi wa Afrika 1950+ nikiwa zilikuwa za DAMU na MAJI! Hayo ni maneno mawili lakini katika dhana ya ukombozi uwa hayatengani kwa namna yoyote ile!
 
tunaposema harakati za ukombozi wa Afrika 1950+
Tunaposema wapi? Ni wapi tumesema "ukombozi wa Afrika"?

Tunaongelea ukombozi wa Tanganyika!

Na ni wewe mwenyewe ndio umeleta mada ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Yani, cha ajabu, mada ni yako mwenyewe halafu umesahau ulipoanzia!

Kama usingechomeka mstari wa "babu zetu wamemwaga damu" basi mada ingekuwa haina mushkeli.

Futa madai yako kwamba Tanganyika ilipopigania uhuru ilimwaga damu, inakufanya uonekane hujui chochote cha historia ya nchi hii.
 
Tunaposema wapi? Ni wapi tumesema "ukombozi wa Afrika"?

Tunaongelea ukombozi wa Tanganyika!

Na ni wewe mwenyewe ndio umeleta mada ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Yani, cha ajabu, mada ni yako mwenyewe halafu umesahau ulipoanzia!

Kama usingechomeka mstari wa "babu zetu wamemwaga damu" basi mada ingekuwa haina mushkeli.

Futa madai yako kwamba Tanganyika ilipopigania uhuru ilimwaga damu, inakufanya uonekane hujui chochote cha historia ya nchi hii.

Nimeeleza vizuri tafasiri stahiki ya vita/harakati za ukombozi wa bara la afrika! Rudia kusoma post zangu hapo mkuu
 
Back
Top Bottom