ndo maana mie nikauliza hivi kwa nini huwa tunapiga kura ,ingependeza kam siku moja nchi nzima ikaweka mgomo baridi kwa swala hili
Kinachoboa ni kuwa hata ukikunji kupiga kura, bado huyo usiyempenda atashinda tuuuuuuu.... Tatizo ni kuwa badala ya ku-deal na source, sisi tunahangaika na outcomes. Kwangu tatizo linaanzia hapa......
1. Tume ya uchaguzi ........... Chama chatu tupu
2. Wachapisha karatasi za kupigia kura.........chama chetu tupu
3. Wahesabu kura..................chama chetu tupu
4. Wasafirisha kura toka vituoni.......chama chetu tupu
5. Walinda kura zisiibiwe..............chama chetu tupu.
6. Watangaza matokeo..............chama chetu tupu.
7.Wagombea..............chama chetu tupu.
8. Mawakala.......chama chetu tupu
9. Walinzi vituo vya kupigia kura..............chama chetu tupu
Kwa hiyo ili kuondoa tatizo, ni lazima mfumo mzima unaohusu uchaguzi ubadirike, kuanzia kufikiri kuhusu uchaguzi hadi kumpata mshindi wa uchaguzi huka. Mmoja wa wshindani akiwa ndiye anaye-control kila kitu, lazima atavutia kwake kwa namna au gharama yoyote, hata ikibidi kuuwa, kufunga watu hadi uchaguzi upite etc......... KAZI BADO KUBWA SANA