Tujikumbushe siku za nyuma wakati Kikwete alitakiwa kuchuka maamuzi magumu na hakuchukua.
Re: Epa na mambo yake
JK: "Watanzania eh"
WTZ: "Eh"
JK: "Mimi Rais wenu!"
WTZ: "eh!"
JK: "Sina nguvu tena!"
WTZ: "Eh"
JK: "Ya kukamata mafisadi"
WTZ: "Eh"
JK: "Mafisadi ni wajanja"
WTZ: "Eh"
JK: "Wamekomba Benki Kuu"
WTZ. "Eh" kwa shauku!
JK: "Wamelangua na Rada"
WTZ. "Eh" kwa shauku!
JK: "Wameiba Meremeta"
WTZ. "Eh" kwa shauku!
JK: "Wamechota nayo EPA"
WTZ. "Eh" kwa shauku!
JK: "Sasa kimbieni!
Watanzania kila mmoja anaanza kutimka kivyake na mwenye kuweza kufanya ufisadi zaidi anaendelea kufanya tu kwani rais keshashindwa; na kupelekea ufisadi kuendelea kukomaa siku hadi siku. Hivyo ndivyo anvyoonekana Rais Kikwete.
Re: Epa na mambo yake
JK: "Watanzania eh"
WTZ: "Eh"
JK: "Mimi Rais wenu!"
WTZ: "eh!"
JK: "Sina nguvu tena!"
WTZ: "Eh"
JK: "Ya kukamata mafisadi"
WTZ: "Eh"
JK: "Mafisadi ni wajanja"
WTZ: "Eh"
JK: "Wamekomba Benki Kuu"
WTZ. "Eh" kwa shauku!
JK: "Wamelangua na Rada"
WTZ. "Eh" kwa shauku!
JK: "Wameiba Meremeta"
WTZ. "Eh" kwa shauku!
JK: "Wamechota nayo EPA"
WTZ. "Eh" kwa shauku!
JK: "Sasa kimbieni!
Watanzania kila mmoja anaanza kutimka kivyake na mwenye kuweza kufanya ufisadi zaidi anaendelea kufanya tu kwani rais keshashindwa; na kupelekea ufisadi kuendelea kukomaa siku hadi siku. Hivyo ndivyo anvyoonekana Rais Kikwete.