We umeuliza swali nimekujibu sasa naona unataka kunichambua mimi!Aliyekwambia nahitaji kujijengea hoja ni nani?Sina sababu ya kujidanganya wala kudangaya!
Halooo!Embu usizidi kunichekesha!sikuchambui bali nataka kukuweka sawa katika maisha yako ya mapenzi je nimekosea kwa ninayo yasema?
mko pamoja mda gani?
Phewwww!!!!!!!!!!
Studenti, can sambadi duu skweya ruti?
Nampendea pesa na sita kwa sita basi
Kwasababu yuko alivyo!Tabia zake..muonekano wake na mengineyo!Pamoja na kuniboa now and then lakini bado anajua jinsi ya kurudisha furaha yangu!
Mmmmhhhh just do it
Ntamuuliza tekniki zake nikwambie!Furaha yako huwa anairudishaje?
Duuuuu!we Dena kwa hiyo siku pesa zikiisha na maujuzi ya 6 kwa 6 yakitoweka hutampenda huyo mpenzi wako?
Siwezi peke yangu bana