Kwa nini tunapewa wakati mgumu katika kuchagua?

Kwa nini tunapewa wakati mgumu katika kuchagua?

dyuteromaikota

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
5,929
Reaction score
8,327
Unafika mahari unakutana na pisi matata, kabla hata hujachukua namba inapita nyingine ambayo unaona ndo pisi kali zaidi! Mpaka unakuja kufanya maamuzi uchukue namba ya pisi ipi muda ushaenda na hujafanikiwa kupata namba ya hata mmoja.
"Mungu tupe macho tuone" by Christina Shusho.
 
If your life depends on love then your life is in trouble focus on strengthening your financial freedom.
 
Back
Top Bottom