Kwa nini tunashauriwa unapoiwasha gari uiwache ingurume kwa muda kabla kutia gia

Kwa nini tunashauriwa unapoiwasha gari uiwache ingurume kwa muda kabla kutia gia

g dex

Member
Joined
Feb 12, 2021
Posts
8
Reaction score
4
Habari wadau , hope mu wazima.

Leo nahitaji munisaidie ufafanuzi kuhusiana na hili kuiwacha gari ingurume kama imelala muda mrefu kusudi wengine wanasema temperature ishuke lakin wengine wanadai ni kuifanya oil ipande kwenye mashine.

Sasa kuna ukweli wowote hapa? Na ikiwa hali ndio hiyo vipi kuhusu vyombo vyengine vya moto vya maringi mawili navyo tuwache ingurume ili oil ipande ama hakuna madhara

Naomba kuwasilisha
 
Habari wadau , hope mu wazima.

Leo nahitaji munisaidie ufafanuzi kuhusiana na hili kuiwacha gari ingurume kama imelala muda mrefu kusudi wengine wanasema temperature ishuke lakin wengine wanadai ni kuifanya oil ipande kwenye mashine.

Sasa kuna ukweli wowote hapa? Na ikiwa hali ndio hiyo vipi kuhusu vyombo vyengine vya moto vya maringi mawili navyo tuwache ingurume ili oil ipande ama hakuna madhara

Naomba kuwasilisha
The answer is not far-fetched, this is to give time for the engine part involved in friction with one another to get fully lubricated so as to minimize friction to the required level when you start moving.
 
The answer is not far-fetched, this is to give time for the engine part involved in friction with one another to get fully lubricated so as to minimize friction to the required level when you start moving.
Gud Answer
Kwakiswahil ni Oil/Vilainishi viweze kutembea sehemu zote muhimu ili kuzuia Msuguano usio wa lazima.
 
tayari sababu ya msingi ishatolewa hapo juu but kwa kuongezea inafanya alert ya mechanism ktk combustion inayohitajika pale mixer of air and fuel for other car while zile zinaotumia sparks ktk combustion kuwa ready kuavoid miss fire ktk start ya gari
 
Habari wadau , hope mu wazima.

Leo nahitaji munisaidie ufafanuzi kuhusiana na hili kuiwacha gari ingurume kama imelala muda mrefu kusudi wengine wanasema temperature ishuke lakin wengine wanadai ni kuifanya oil ipande kwenye mashine.

Sasa kuna ukweli wowote hapa? Na ikiwa hali ndio hiyo vipi kuhusu vyombo vyengine vya moto vya maringi mawili navyo tuwache ingurume ili oil ipande ama hakuna madhara

Naomba kuwasilisha
oil ni jambo/kitu cha muhimu sana kwenye gari ndiyo ambayo husaidia kuzuia friction ya vyuma katika engine.

hivyo unapoiwasha gari silent kabla ya kuiwasha unaruhusu oil ipande kwenye engine na kuzunguka
 
Hii siyo kweli..
Unajua zaidi. Lakini mfumo wa upoozaji wa engine ni vyema ukafanya kazi kwa muda kidogo kabla ya kulizima kwa ghafla baada ya safari ndefu hasa kwa magari ya zamani. Vinginevyo kila gari ina kitabu chake namna ya kufanya. Japokuwa hapa tunaongea tu kwa ujumla. Zingine pia zina cooling systerm nzuri
 
Habari wadau , hope mu wazima.

Leo nahitaji munisaidie ufafanuzi kuhusiana na hili kuiwacha gari ingurume kama imelala muda mrefu kusudi wengine wanasema temperature ishuke lakin wengine wanadai ni kuifanya oil ipande kwenye mashine.

Sasa kuna ukweli wowote hapa? Na ikiwa hali ndio hiyo vipi kuhusu vyombo vyengine vya moto vya maringi mawili navyo tuwache ingurume ili oil ipande ama hakuna madhara

Naomba kuwasilisha
Kwenye Injini yoyote,kabla hujaipa mzigo,kwa maana ya kuweka GIA na kuanzia kutembea(kwa magari),ni vizuri ukasubili kidogo oil ianze kusukumwa kwenye vyuma vyote vinavyozunguka ndani ya Injini,kuanzia piston,con bearing,push rods nk,hii husaidia vyuma visisagane,kumbuka gari ikiwa imesimama,oil yote hushuka chini kwenye "sample"beseni la kuhifadhia oil.kutoka kwenye sample Kuna oil pump,inayosukuma hiyo oil kwenda sehemu zote kwenye Injini.
Hivyo hivyo kwa sie watu wa umeme,kwenye magenereta(yanatumia Injini pia)Genereta ikiwashwa na mifumo yake,huwa tunaweka muda kama dk moja,Genereta itembee bila kubeba mzigo(kuanza kulisha vitu umeme)hii tunaita warming time,oil inanza kupanda,lublication ikiwa tayari,ndio unaruhusu mzigo.
Hata kwenye mwili wa binadamu,ukienda gym unatakiwa uanze na mazoezi madogo,Ili kuifanya mwili utoe virainishi kwenye viungo,Ili kuzuia kuumia utakapo beba weight kubwa kabla viungo havijarainika vya kutosha
 
Habari wadau , hope mu wazima.

Leo nahitaji munisaidie ufafanuzi kuhusiana na hili kuiwacha gari ingurume kama imelala muda mrefu kusudi wengine wanasema temperature ishuke lakin wengine wanadai ni kuifanya oil ipande kwenye mashine.

Sasa kuna ukweli wowote hapa? Na ikiwa hali ndio hiyo vipi kuhusu vyombo vyengine vya moto vya maringi mawili navyo tuwache ingurume ili oil ipande ama hakuna madhara

Naomba kuwasilisha
Mmh temperature ishuke? Hapana kabisa.. Ni kuipa nafasi kila mfumo ukae sawa

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Hata kama ni wewe huwezi amka asubuh na kuanza kukiimbia tu.

. actually ni kufanya oil ipande sababu oil ni kimiminika so hushuka chini wakat chombo kikipakiwa sababu huwa nyepesi huchemka
 
Back
Top Bottom