Habari wadau , hope mu wazima.
Leo nahitaji munisaidie ufafanuzi kuhusiana na hili kuiwacha gari ingurume kama imelala muda mrefu kusudi wengine wanasema temperature ishuke lakin wengine wanadai ni kuifanya oil ipande kwenye mashine.
Sasa kuna ukweli wowote hapa? Na ikiwa hali ndio hiyo vipi kuhusu vyombo vyengine vya moto vya maringi mawili navyo tuwache ingurume ili oil ipande ama hakuna madhara
Naomba kuwasilisha
Leo nahitaji munisaidie ufafanuzi kuhusiana na hili kuiwacha gari ingurume kama imelala muda mrefu kusudi wengine wanasema temperature ishuke lakin wengine wanadai ni kuifanya oil ipande kwenye mashine.
Sasa kuna ukweli wowote hapa? Na ikiwa hali ndio hiyo vipi kuhusu vyombo vyengine vya moto vya maringi mawili navyo tuwache ingurume ili oil ipande ama hakuna madhara
Naomba kuwasilisha