Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Ukweli ni upi?Mwongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ni upi?Mwongo
Ili oil ziweze kusambaa kwenye ijini na joints mbalimbal;i kuzxilainisha na kupunguza msuguano.Habari wadau , hope mu wazima.
Leo nahitaji munisaidie ufafanuzi kuhusiana na hili kuiwacha gari ingurume kama imelala muda mrefu kusudi wengine wanasema temperature ishuke lakin wengine wanadai ni kuifanya oil ipande kwenye mashine.
Sasa kuna ukweli wowote hapa? Na ikiwa hali ndio hiyo vipi kuhusu vyombo vyengine vya moto vya maringi mawili navyo tuwache ingurume ili oil ipande ama hakuna madhara
Naomba kuwasilisha
Hujui kuwa unapokanyaga mafuta na mshale wa RPM ukanyanyuka sana ndivyo ambavyo ulaji wa mafuta hufanyika kwa kasi pia?Mwongo
Engine imetengenezwa kwa kiwango kikubwa sana,unapoona taa ya oil tu imezima kwa zile sekunde tatu, basi oil hua imeshafika maeneo yote husika ili kuweka ulainishi wa vyumaGud Answer
Kwakiswahil ni Oil/Vilainishi viweze kutembea sehemu zote muhimu ili kuzuia Msuguano usio wa lazima.
In Swahili press 1The answer is not far-fetched, this is to give time for the engine part involved in friction with one another to get fully lubricated so as to minimize friction to the required level when you start moving.
Engine imetengenezwa kwa kiwango kikubwa sana,unapoona taa ya oil tu imezima kwa zile sekunde tatu, basi oil hua imeshafika maeneo yote husika ili kuweka ulainishi wa vyuma
Kuna gari haziwashi hiyo taa lakini oil haifiki baadhi ya naeneo.
Unalijua hilo?
Majority ya magari madogo hayahitaji kusubiri more than 5 seconds ambayo nayo sio muda wa kusema unasubiri. Oil huwa inapanda instantly na katika galley za oil kwenye injini mafuta si yote yanayoshuka. Pia katika bearings za muhimu imekuwa designed by default kutokuwa kavu pindi gari inapozimwa (yaani oil haipo kabisa). Kiasi kinchorudi kwenye oil sump ni kile hasa kinachokaa kwenye valve train na bado kwenye valve pia oil huwa bado ipo kidogo.
Nadhani cha msingi labda coolant inakuwa bado ni ya baridi hivyo throttle inakiwa open ili kuharakisha zoezi la kuipa joto ili gari liwe kwenye operating temperature nayo haikuzuii kuendesha gari hadi ipate joto ila zingatia kutokwenda kwenye rpm kubwa kabla ya operating temperature kufikia.
Oil hupanda instantly na lubrication huanza tu pale oil pump inapoanza first revolution.
MAONI BINAFSI.
Kuna gari zinapiga pink sound ukikanyaga accelerator unaijua tafsiri yake?
Oil inaweza kuwa haifiki vizuri baadhi ya maeneo. Hasa Oil inapokuwa nzito.Hapana
Stori za vijiwe vya SingeliUnaandaa gari kwa ajili ya tendo la safari. Na wakati wa kuzima pia usilizime ghafla baada ya safari ya masaa mengi unaliacha kwenye idle mode kwa muda kidogo.
Oil inaweza kuwa haifiki vizuri baadhi ya maeneo. Hasa Oil inapokuwa nzito.
Oil pressure inakuwa normal ila baadhi ya sehemu zibakuwa hazina oil.
Kuna mlio gari huwa inatoa madhalani ukikanyaga accelerator.