Kwa nini tunatamani mahusiano na wazungu au ni kwa nini wazungu wanatutamani?

Kwa nini tunatamani mahusiano na wazungu au ni kwa nini wazungu wanatutamani?

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Miaka ya karibuni wananchi wengi hasa vijana, wamejiingiza kwenye uhusiano wa kimapenzi na wageni hasa wazungu. Mapenzi hayakuanza leo, jana wala juzi.

Yamekuwapo wakati wote. Ukweli ni kwamba kuna baadhi ya watu katika mataifa mengi duniani, hutaka kuwa na uhusiano na wageni.

leo wanawake weusi hawataki wanaume weusi kwa jumla. Mwanaume mweusi hakosi nyumba ndogo au tatu. Mwanamke mweusi kishamfahamu kaka yake. Kishamjua. Akishamkubalia, huba au mahaba, hatokuwa yeye tu. Hilo limeenea majuu yote. Limeenea kiasi ambacho dada weusi hawana imani na kaka zao. Wameanza kusaka wazungu. Zamani mzungu hakupendwa sana na mwanamke mweusi. Wapo dada wachache waliokwenda na wazungu ndiyo; ila wengi walidai ah mzungu hana nguvu kitandani. Au walilalamika wajihi wa ngozi haukuwavutia.

Unafikiri ni kwa nini?


Mbongo kutaka mahusiano na Mzungu?

Mzungu kutaka ngozi nyeusi?




soma ziadi: Mwananchi Jumanne Agosti 12 Na Fred Macha
 
Kwa kuwa na mzungu wanawake wengi wanafikiri wanaweza pata maisha mazuri kwa haraka, wakati sio kweli wazungu wengi siku hizi ni choka mbaya na matapeli na wanapenda kufanya mapenzi na malaya wala sio wanawake wenye heshima zao. Na wengi wao wako kimasilahi zaidi, wanawake wengi weusi kwa tamaa zao huchukuliwa picha za ngono wakati mwingine hata na mbwa kwa ajili ya biashara na kuishia kuharibiwa sehemu zote, mbele na nyuma kwa kiasi kidogo cha pesa. Mzungu anajifanya amemuoa mwanamke mweusi kumbe ni kwa ajili ya mbwa wake na biashara ya video ya ngono.
 
Jibu moja tu wanaume weusi wanachepuka, na wanawake weusi wanajua Kua wanaume weusi wanawaua wao Kua wanachepuka ndio maana wakaona bora waende kwa wazungu ambao hawajui Kua wanawake weusi wanachepuka! Kitu
Kingine pesa za kula bata wanaume wengi wanaishi ulaya wengi wana malengo ya maisha mazuri hawapo tayari kutumia pesa hovyo hovyo Kama
Wazungu ambao amezaliwa baba yake Hana shida wala hafikilii kumsaidia ndugu yeyote ndio maana wasichana weusi wanaenda kujibanza huko! Kitu kingine
Wanaume wanao wapata wasichana weusi ni wale watalaka unakuta mzungu ameoa karibia ndoa 3 wazungu wenzie wamemkimbia sasa anakutana na mtoto
Kutoka bongo anakiu ya starehe ndio a nalala na mbabu! Wa miaka 62! Wasichana wachache sana wanaolewa au kutoka na wazungu under 45 hata Kama msichana ana 22-26!!
 
umejenga hoja mujarAB SANA
Jibu moja tu wanaume weusi wanachepuka, na wanawake weusi wanajua Kua wanaume weusi wanawaua wao Kua wanachepuka ndio maana wakaona bora waende kwa wazungu ambao hawajui Kua wanawake weusi wanachepuka! Kitu
Kingine pesa za kula bata wanaume wengi wanaishi ulaya wengi wana malengo ya maisha mazuri hawapo tayari kutumia pesa hovyo hovyo Kama
Wazungu ambao amezaliwa baba yake Hana shida wala hafikilii kumsaidia ndugu yeyote ndio maana wasichana weusi wanaenda kujibanza huko! Kitu kingine
Wanaume wanao wapata wasichana weusi ni wale watalaka unakuta mzungu ameoa karibia ndoa 3 wazungu wenzie wamemkimbia sasa anakutana na mtoto
Kutoka bongo anakiu ya starehe ndio a nalala na mbabu! Wa miaka 62! Wasichana wachache sana wanaolewa au kutoka na wazungu under 45 hata Kama msichana ana 22-26!!
 
Aiseeeeeeeeeeeeeee
kwa kuwa na mzungu wanawake wengi wanafikiri wanaweza pata maisha mazuri kwa haraka, wakati sio kweli wazungu wengi siku hizi ni choka mbaya na matapeli na wanapenda kufanya mapenzi na malaya wala sio wanawake wenye heshima zao. Na wengi wao wako kimasilahi zaidi, wanawake wengi weusi kwa tamaa zao huchukuliwa picha za ngono wakati mwingine hata na mbwa kwa ajili ya biashara na kuishia kuharibiwa sehemu zote, mbele na nyuma kwa kiasi kidogo cha pesa. Mzungu anajifanya amemuoa mwanamke mweusi kumbe ni kwa ajili ya mbwa wake na biashara ya video ya ngono.
 
dadavua kidogo muke
You said it all Ama,just like that wanaume weusi wamepewa kipaumbele Kwa Mda mrefu wameshndwa kukitmia vzuri to make their women happy,unlike wazungu wanajua ktu mwanamke anataka and that happiness is their right so what do you expect?kipaumbele kimehamia uko,uchepukaji,irresponsibility, etc etc vyote Kwa ujumla wke ni ukosefu Wa akili ya kuona mbali madhara ya hzo tabia Kwa wanaume Wa kibongo mpaka sasa madhara yanawakutia chumbani wanakodoa kodoa macho ndo kuanza kujitathimini..too late, haya ndio madhara ya kufanya vtu bla kufkiria madhara yake,yanakushtkza pup!!!haya hapo deal nayo sasa uanzie wapi na yashakuwa madhara
 
asante kwa udadavuzi
You said it all Ama,just like that wanaume weusi wamepewa kipaumbele Kwa Mda mrefu wameshndwa kukitmia vzuri to make their women happy,unlike wazungu wanajua ktu mwanamke anataka and that happiness is their right so what do you expect?kipaumbele kimehamia uko,uchepukaji,irresponsibility, etc etc vyote Kwa ujumla wke ni ukosefu Wa akili ya kuona mbali madhara ya hzo tabia Kwa wanaume Wa kibongo mpaka sasa madhara yanawakutia chumbani wanakodoa kodoa macho ndo kuanza kujitathimini..too late, haya ndio madhara ya kufanya vtu bla kufkiria madhara yake,yanakushtkza pup!!!haya hapo deal nayo sasa uanzie wapi na yashakuwa madhara
 
kuna ambayo niliisikia lakn sijaithibitisha kwamba wanaume weusi wanapendwa kwa sababu kuni zao kavu zina majotrooooo
 
Miaka ya karibuni wananchi wengi hasa vijana, wamejiingiza kwenye uhusiano wa kimapenzi na wageni hasa wazungu. Mapenzi hayakuanza leo, jana wala juzi.

Yamekuwapo wakati wote. Ukweli ni kwamba kuna baadhi ya watu katika mataifa mengi duniani, hutaka kuwa na uhusiano na wageni.

leo wanawake weusi hawataki wanaume weusi kwa jumla. Mwanaume mweusi hakosi nyumba ndogo au tatu. Mwanamke mweusi kishamfahamu kaka yake. Kishamjua. Akishamkubalia, huba au mahaba, hatokuwa yeye tu. Hilo limeenea majuu yote. Limeenea kiasi ambacho dada weusi hawana imani na kaka zao. Wameanza kusaka wazungu. Zamani mzungu hakupendwa sana na mwanamke mweusi. Wapo dada wachache waliokwenda na wazungu ndiyo; ila wengi walidai ah mzungu hana nguvu kitandani. Au walilalamika wajihi wa ngozi haukuwavutia.

Unafikiri ni kwa nini?


Mbongo kutaka mahusiano na Mzungu?

Mzungu kutaka ngozi nyeusi?




soma ziadi: Mwananchi Jumanne Agosti 12 Na Fred Macha

Kwangu ni matter of "testing the variety!
 
Wanaume weusi wamejiharibia wnyewe soko Kwa tabia zao.the inability ya kutokuona the aftermath of their habits""only that
Wanaume woote wako sawa .I dated Tanzanians na nimeolewa na Mzungu tofauti ni ndogo .Tabia za kununa kwa Mzungu utaitwa emotional abuse ( silent treatment ) while mwafrika atakuambia oh mama kanuna sijui nimekosa nini ( kununa ni mental emotional abuse ).Wanawake wakitanzania wanapenda kuongelea matatizo ya ndoa kwa watu while Mzungu face to face na Mzungu akikustukia tuu kwiahney .Mwafrika atakuambia tukiachana watu watajua or tucheka tuvumiliane while Mzungu penzi likiisha limeisha .Africa penzi haliishi kwa MWANAMKE hata aolewe bado tuuu mnamfuatilia mtu wewe .Mwenzio akioa olewa heshimu ndoa yake .mzungu anaheshimu ndoa ila you need to love what you value most family and be calm ,think before you open your mouth .Vacation (mwafrica vacation ni kijijini kwetu na no dating mkeo) .Yes vacation wewe na mkeo hunting ,fishing ,running together ,baiskeli,pandeni Mlima,safari do something .Kasheshe la nyumba ( kwa nini mnaoa nawakati Hamna nyumba nunua Jenga nyumba kwanza ndio oue otherwise matatizo ya kifedha yatakuandama
 
Back
Top Bottom