Uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA Taifa uliteka watu wengi mithili ya uchaguzi Mkuu wa Nchi.
Uliteka kuanzia vijana, wazee, akina baba, akina mama, Watanzania wote pamoja na watu wa mataifa mbalimbali. Usiku ule watu wengi hawakulala wakisubiri matokeo yatangazwe. Hata mimi nilikesha nikifuatilia matokeo.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Lakini pia nilichogundua kingine ni kwamba, viongozi wa serikali hata waitishe Press hakuna anayeshobokea lakini Lissu akiitisha Press asilimia kubwa ya Watanzania wanakuwa hewani kufuatilia kinachojiri.
Je, ni kwamba viongozi wetu wa serikali wamekosa mvuto kwa Watanzania kiasi hicho?
Uliteka kuanzia vijana, wazee, akina baba, akina mama, Watanzania wote pamoja na watu wa mataifa mbalimbali. Usiku ule watu wengi hawakulala wakisubiri matokeo yatangazwe. Hata mimi nilikesha nikifuatilia matokeo.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Lakini pia nilichogundua kingine ni kwamba, viongozi wa serikali hata waitishe Press hakuna anayeshobokea lakini Lissu akiitisha Press asilimia kubwa ya Watanzania wanakuwa hewani kufuatilia kinachojiri.
Je, ni kwamba viongozi wetu wa serikali wamekosa mvuto kwa Watanzania kiasi hicho?