Kwa nini UEFA Champions League haionyeweshwi tena?

Kwa nini UEFA Champions League haionyeweshwi tena?

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,370
Reaction score
3,962
Zamani ilikua kazi rahisi sana kutizama game za UEFA live kupitia ITV au Chanel Ten ,imekuaje sikuiz hawarushi tena?

Kila siku kwenye bar na vibandani inakera kweli.
 
Hata mimi sijui ila nadhani ni gharama zimepanda za uoneshwaji zimepanda.
Kumbuka hata baadhi ya mechi tunazoangalia hususani World Cup na Afcon huwa tunachakachua kutoka Channel za wenzetu.
Sasa na wao wakikosa kibali au wakiwa wanalipia pesa nyingi sisi huku tunaambulia patupu.
 
tumezoea bure,hivi unadhani ukisikia figure za usajili za mamilion unafikiri zinatoka wapi!!Ukila sharti uliwe!!!
 
Back
Top Bottom