DOTTO MUNGO
Member
- Mar 11, 2012
- 15
- 1
Kukosa taarifa nzuri, hasira na maamzi yasiyo ya busara yanapelekea wengi kujiua/kujinyonga/kunywa sumu pindi tu wanaposalitiwa na kuachwa na wake/waume zao. Kwa nini uchukue uamuzi huu hatari wakati kuna mbinu kibao.