Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Yeye ameandika kwenye kurasa zake, wewe unakwenda kufungua kusoma na kuanza kulalamikia alichoandika, ni kwa nini unatembelea ukurasa wake? Ni kama vile unakuta mtu anakulalamikia na kukuhukumu kwa picha zako ulizoweka kwenye akaunti yako ya Facebook, sasa ulifwata nini huko? I mean kwa nini unafungua ukurasa wake na kuanza kulalamikia alichoandika?