Mahusiano au mapenzi huleta raha na furaha ya ajabu maishani lakini...........
kuna watu aidha wanaume au wanawake,wakikutana tu,utasikia 'naomba simu yako'. Ataanza kusachi,atasachi sms zote,misscall zote,dialled call zote,received call zote,majina yote yaliyoseviwa anafanya hivyo huku mimacho imemtoka na presha juu, je? hii inasaidia kweli? kwa nini uwe na mtu asiemwaminifu kama tatizo ndilo hilo?Wengine mpenzi wake akienda kuoga au toilet,utamwona chapchap kwa speed ya maili milioni 1 kwa saa anaingiza mkono kwenye nguo au begi na kuanza u CIA au u FBI,upelelezi wake,mwenzie anatoka bafuni anashangaa kumuona mpenzie kanuna,shida yote hii ya nini?Wengine kama simu zinafanana atafanya juu chini mbadilishane au uisahau simu yako ili ashinde nayo kutwa nzima ili iweje? kwani mkichokana lazima mtafutiane sababu?Unadhani Darling wako ni zoba kiasi cha kusahau kufuta sms zote za hatari? Unadhani mpenzi wake Asha atashindwa kumsevu kwa jina la Alli? Au mpenzi wake John atashindwa kumsevu kama Jane?Nawulizeni wana JF
kuna watu aidha wanaume au wanawake,wakikutana tu,utasikia 'naomba simu yako'. Ataanza kusachi,atasachi sms zote,misscall zote,dialled call zote,received call zote,majina yote yaliyoseviwa anafanya hivyo huku mimacho imemtoka na presha juu, je? hii inasaidia kweli? kwa nini uwe na mtu asiemwaminifu kama tatizo ndilo hilo?Wengine mpenzi wake akienda kuoga au toilet,utamwona chapchap kwa speed ya maili milioni 1 kwa saa anaingiza mkono kwenye nguo au begi na kuanza u CIA au u FBI,upelelezi wake,mwenzie anatoka bafuni anashangaa kumuona mpenzie kanuna,shida yote hii ya nini?Wengine kama simu zinafanana atafanya juu chini mbadilishane au uisahau simu yako ili ashinde nayo kutwa nzima ili iweje? kwani mkichokana lazima mtafutiane sababu?Unadhani Darling wako ni zoba kiasi cha kusahau kufuta sms zote za hatari? Unadhani mpenzi wake Asha atashindwa kumsevu kwa jina la Alli? Au mpenzi wake John atashindwa kumsevu kama Jane?Nawulizeni wana JF