Kwa nini vijana wakitoka kimapenzi na mishangazi inachukuliwa na kulelewa?

Kwa nini vijana wakitoka kimapenzi na mishangazi inachukuliwa na kulelewa?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa nini vijana wadogo wakitoka kimahusiano na wamama watu wazima(mishangazi) au hata wakioana nao kabisa inachukuliwa kama wanalelewa na maneneo yanakuwa mengi sana wakati mabinti wadogo wakitoka au kuolewa na wazee inaonekana ni mahusiano ya kawaida tu?

Haya yote si mapenzi tu kila mtu na taste yake!?
 
Kwa nini vijana wadogo wakitoka kimahusiano na wamama watu wazima(mishangazi) au hata wakioana nao kabisa inachukuliwa kama wanalelewa na maneneo yanakuwa mengi sana wakati mabinti wadogo wakitoka au kuolewa na wazee inaonekana ni mahusiano ya kawaida tu?

Haya yote si mapenzi tu kila mtu na taste yake!?
Hili nalo neno.
Wanawaonea gele tuu kwa sababu vijana wanajua kugegeda mbususu vizuri
 
Kwa nini vijana wadogo wakitoka kimahusiano na wamama watu wazima(mishangazi) au hata wakioana nao kabisa inachukuliwa kama wanalelewa na maneneo yanakuwa mengi sana wakati mabinti wadogo wakitoka au kuolewa na wazee inaonekana ni mahusiano ya kawaida tu?

Haya yote si mapenzi tu kila mtu na taste yake!?
Kizazi ya Sodoma na Gomora
 
Vijana wanapenda kulelewa siku hizi( uvivu kufanya kazi) ...

Hiyo mishangazi ukifuatilia kwa ukaribu zaidi,, utakuta yote ni Mijane 🤒🤒🤒
 
Back
Top Bottom