Kwa nini vijana wengi wa Dar es Salaam wanapenda kuita wanaume wenzao baba flani?

Kwa nini vijana wengi wa Dar es Salaam wanapenda kuita wanaume wenzao baba flani?

We kama huna watoto kaa kimya achana na maisha ya watu
 
Ungeshauri pia unataka waitwe vp badala ya hivyo, lakini hii si kwa Dar tu, nadhani ni karibu sehemu zote tu Tz
 
Tafuta ata wakufikia maana wa dar wanafaidi sana kuitwa hivyo
 
Hahaha wew umefurahisha bwn! Kwahyo hutaki ujulikane una mtoto tayari au? Mbona sielewi, wew huoni huo ni ufahari au ni dhambi?
 
Hii nimeikuta hapa Dar es Salaam, unakuta mwanaume anamuita mwanaume mwenzake baba flani na wanaona sawa tu.

Kama mimi mtu unakuta mwanaume mwenzangu ananiita baba Nyangwegwe, au baba Kazurungu. Unajiuliza hivi huyu hajisikii aibu? Na hii naona ni kama utamaduni wa watu wa Dar es Salaam kuita wanaume wenzao baba flani.

Na unakuta mtu anajitambulisha eti naitwa baba flani.
Acheni kuidhalilisha jf kama huna cha kupost kausheni
 
Back
Top Bottom