Akuu! Mi sina tabia ya kuchungulia watu! Hehehe, wanasema 'he looks yummy in his vulnerable state...' Akiwa kasinzia. Ila una jinsia mbili,nimekustukia aisee! Usije ukaharibu,lol
mi binafsi nawapenda wasichana wa kisukuma. ni wazuri, wanavutia, hawana kashfa za kitamaduni. Mzazi wala hahoji kwa nini umeoa msukuma, ila wengine...!
weeeee stop
mwanamme wa kisukuma na watoto wake wawe jogori?!!!
It will never happen
tena sababu ya mwanamke!?
Hata awe mweupe kama mbalamwezi
mtoto wa msukuma huwa ni msukuma tu
hata umpe limbwata atakuwa mwalu, misoji, masanja
wanaume wa kisukuma wana ego kubwa sana
always watoto ni wake na anawapa majina yeye
hata azae mtaani baada ya ndoa atawaleta wote hapo nyumbani
ila tunapenda wachaga na wameru sababu ya rangi afu huko kwenu wanatupabure hakuna mahari
huku usukumani dun mwanamke mweupe bila ng'ombe 30 simpati
Wengine waseme na wewe useme shosti
siku ile nlikuonesha kabisa bado huamini
anyway mateka karidhika na mie basi mie full shangwe
he is supa yummy, sijui alitengenezwa kwa mayonaise
he is decently delicious aisee
kongosho gashi nang'ho uli wa kukaya.
Maybe because they are two of the larger tribes in the country ergo you are bound to get more unions between the two compared to other smaller tribes
kongosho gashi nang'ho uli wa kukaya.
Ka mna faza akenako
kongosho gashi nang'ho uli wa kukaya.
olimhola ngw'anamayu!!!!
Ka mna faza akenako
Yeeeeeee , gashi nang'ho udebile ekisukuma shiza gete! wabeja sana
Yeeeeeee , gashi nang'ho udebile ekisukuma shiza gete! wabeja sana
Nmh; kongosho l wish ningekupa majina ya hao couple (by the way u might be one of the couple l know. LOL)
Wasukuma wapole (though ni vitom.i) na hiyo hufsnya wanawake kuwapanda! I am married to one, na shemeji yangu (Mdogo wa mume wangu) kaoa mchaga!
jamani watoto wa kichaga ni wazuri nikiwaonaga mate huwa yanachuruzika tu ila nasikia wakakudedisha ili wachukue mali
olimhola ngw'anamayu!!!!