Kwa nini Wachaga Wanawapenda Wasukuma??

Kwa nini Wachaga Wanawapenda Wasukuma??

Hivi kumbe kinyume cha ujanja ni upole eeeh!!!
Mith you more darling.
Vipi mzee wa kiduku hajambo? Maana kama una ubia vile

[emoji1] Kiduku buheri wa afya, nimemzimia tu ndo maana siishi kumtaja! [emoji38]
 
yeuwi wasukuma wana wivu jamani
halafu wanapenda msambwanda[emoji23] [emoji23]
kama una msambwanda afu mweupe utaopoa wasukuma kama vibua...
ukiongeza na Titi hapo utaopoa wapemba mpaka uchoke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wakipenda wanapenda kweli
 
Nimefanya kautafiti wangu, nikagundua kuwa Wachaga wengi wanapenda kujichanganya na Wasukuma kuliko makabila mengine ya Tz, Wachaga wengi wameoa/wameolewa na Wasukuma na pia wanashirikiana nao kibiashara.
Baada ya kutafakari sababu.... nimepata majibu yafuatayo:-
1- Wasukuma Wengi wana mali na ni Matajiri
2-Wasukuma ni waaminifu sana.
3-Wachaga ni wajanja na wana mbinu nyingi kuliko Wasukuma kwa hiyo inakuwa rahisi kwa Mchaga kupata faida


Wana JF ningeomba pia na nyinyi mawazo yenu, na kama mna sababu zaidi ya hizo....
Kuna dogo kachukua bonge la mtoto wa Kichaga. Mtoto ana heshima, kwao wanazo, halafu ni wifey material fulani hivi zile za ukiwa down ana ku lift up, ukizubaa zubaa katika kutafuta pesa anakuchangamsha.

Yani naona definite change dogo baada ya kuoa kakua ana akili za kikubwa, wamejenga, wanaanzisha biashara etc.

Halafu bidada kwao sio kama wana shida, wana mkwanja wa haja na pedigree ya kutosha.

Kwa hiyo sikubali stereotypes zenu.
 
Back
Top Bottom