Kwa nini Wachaga Wanawapenda Wasukuma??


thread yii ngaikunda msolo!!
 
Ukitaka kula NGURUWE, chagua aliyenona.

Ndugu zangu Wasukuma, anzeni kutuiga sisi Wanyamwezi/Wadakama kwa kuowa Wazungu na Waarabu. Kama ngozi nyeupe, basi iwe Nyeupe.

Kama ni NOMA na iwe NOMA. Sasa Mchaga na M-Meru atanisaidia nini? Aniibie? Chukua Kitoto cha Kihindi hapo au Kichina.

Pia ninavyofahamu ni kuwa, pamoja na kuoleana, kuna UADUI mkubwa sana kati ya Wasukuma na Wachaga. Kuna kutokuelewana kukubwa kati ya Mwanza vs Moshi. Kama ulikuwa hujui, basi anza kufuatilia. Inawezekana ndiyo maana vijana wakiolea Uchagani, basi inabidi tu wahamie huko maana Usukumani wanakuwa wamevunja mwiko kama siyo UNGO.

Ahhh, mie nilijichukulia kitoto cha Kirangi na ninaishi nacho hapa Sikonge bila noma kabisa. Mwanzo nilitaka kuowa kibinti cha Kidenish kilichokuja kufanya kazi hapa Moravian Church hospital ila kikadai chenyewe kazi kwanza na maisha/mapenzi baadaye.

Vasukuma Vasukuma, mwatolilwe na Vachaga, hahahahaaaaa ......... Naja kwilima.
 
Nyamayao.

 
Asante sana Sikonge......................umenipa darasa zuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…