Kwa nini wahudumu wa bar na madada poa wengi wanatumia mtandao wa airtel

Kwa nini wahudumu wa bar na madada poa wengi wanatumia mtandao wa airtel

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Legends mnasemaje, au mimi nnaangukiwa sana na wanaotumia Airtel vp?

Sababu asilimia 90 ya barmaid au pisi nlonao kwenye simu yangu namba zao ni za Airtel, leo nmekutana na kisu mmoja tena hapa ile kunipa namba naona ni Airtel.

Wadau inakuaje hii?
 
Back
Top Bottom