Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hivyo ndivyo walivyoelekezwa na wakubwa wao!! taifa likifika hapo ni hatari sana!! yaani wananchi hawatoi mawazo yao isipokuwa matakwa ya watu wachache kwenye uongozi wa juu wa chama tawala na hapa matokeo yake ni kwamba tutaandika katiba nyingine baada ya miaka michache sana, maana sioni Tanzania ya sasa ikiendelea na muungano wa nchi mbili!! Muundo huo ambao wanachama wa CCM wanautetea hata wao hawautaki isipokuwa wanyeje maana wakifanya kinyume vibarua vitaota nyasi!!!!
Pia hawaungi mkono serikali tatu kwa vile hawaielewi. Huwezi kuacha mke ambaye umeishi naye muda mrefu mkiwa mmepitia katika aina tofauti za mafanikio na matatizo hadi mmefikia takriban miaka 49. Bado mwaka mmoja tusherehekee Jubilei ya miaka 50 ya ndoa yetu. Leo hii mnaachana kwa kutegemea mwenza ambaye hamjuani. Au umeishi na mke mmoja kwa muda mrefu. Baada ya kuona kuwa migogoro ya ndani imezidi, we unakimbilia kuongeza mke wa pili eti ndo unatatua kero za ndoa ya kwanza. Huo si utakuwa ulofa?
Simple! Kwa sababu wako more realistic. Wanajua wananchi wa Tanzania ni masikini, dawa mahospitalini bado shida, shule hazijawa na miundombinu, maji shida, mishahara midogo, wanashindwa hata kulipa shs. 1,000 ya kodi ya line ya simu kwa mwezi. Halafu uwaambie wagharamie serikali tatu, marais watatu, ikulu tatu, safari za nje marais watatu, ofisi mpya kutosheleza serikali tatu, mabunge matatu, maspika watatu, mahakama tatu, majeshi matatu, polisi tatu, kila kitu tatu...NANI ANAGHARAMIA? KODI KUONGEZWA KWA HUYU MWANANCHI MASIKINI! Nakubaliana nao, gharama hizi mwananchi hataziweza. Labda wananchi hawajaeleweshwa kwamba serikali tatu itakula kwao. serikali haina fedha - inatoza kodi tu - TOKA KWA WANANCHI. Halafu nyie wa bara itakula kwenu zaidi. Zbr watasema hawana uwezo kugharamia serikali ya muungano, kwa udogo wao, uchumi wao - watasema tutoe kama idadi ya watanzania ilivyo (1.3m vs 43.6m), wao watoe 3% ya gharama za serikali ya muungano, bara watoe 97%. Itabidi Bara tukubali ili muungano usivunjike, na hivyo wananchi wa bara tutaumia zaidi. Think twice.Wengi kama sio wote kati ya wajumbe wa mabaraza ya Katiba Mpya toka CCM-kwa mujibu wa vyombo vya habari wanapingana na mapendekezo ya Tume ya Katiba ya Jaji Mstaafu J.S.Warioba kuwa Muundo wa Serikali Tatu na wanataka tuendelee na mbili kama ilivyo sasa kwa visingizio vya ajabu kama gharama,kwani sasa hawaoni jinsi serikali ya sasa inavyoendeshwa kwa gharama kubwa sana?
Njaa mbaya wanahofu kupoteza tonge kwa mfumo wa serekali 3.
Wengi kama sio wote kati ya wajumbe wa mabaraza ya Katiba Mpya toka CCM-kwa mujibu wa vyombo vya habari wanapingana na mapendekezo ya Tume ya Katiba ya Jaji Mstaafu J.S.Warioba kuwa Muundo wa Serikali Tatu na wanataka tuendelee na mbili kama ilivyo sasa kwa visingizio vya ajabu kama gharama,kwani sasa hawaoni jinsi serikali ya sasa inavyoendeshwa kwa gharama kubwa sana?
Simple! Kwa sababu wako more realistic. Wanajua wananchi wa Tanzania ni masikini, dawa mahospitalini bado shida, shule hazijawa na miundombinu, maji shida, mishahara midogo, wanashindwa hata kulipa shs. 1,000 ya kodi ya line ya simu kwa mwezi. Halafu uwaambie wagharamie serikali tatu, marais watatu, ikulu tatu, safari za nje marais watatu, ofisi mpya kutosheleza serikali tatu, mabunge matatu, maspika watatu, mahakama tatu, majeshi matatu, polisi tatu, kila kitu tatu...NANI ANAGHARAMIA? KODI KUONGEZWA KWA HUYU MWANANCHI MASIKINI! Nakubaliana nao, gharama hizi mwananchi hataziweza. Labda wananchi hawajaeleweshwa kwamba serikali tatu itakula kwao. serikali haina fedha - inatoza kodi tu - TOKA KWA WANANCHI. Halafu nyie wa bara itakula kwenu zaidi. Zbr watasema hawana uwezo kugharamia serikali ya muungano, kwa udogo wao, uchumi wao - watasema tutoe kama idadi ya watanzania ilivyo (1.3m vs 43.6m), wao watoe 3% ya gharama za serikali ya muungano, bara watoe 97%. Itabidi Bara tukubali ili muungano usivunjike, na hivyo wananchi wa bara tutaumia zaidi. Think twice.
Hongereni sana hata mimi ni muumini wa serikali moja siyo vinginevyo.Waambie CCM hatutaki serikali 2 tena, kwa sasa tunataka serikali 1 basi
Kwa hiyo kwa vile sasa tunaendesha serikali kwa gharama unataka tuwe na serikali nyingine ili tuendeshe kwa gharama zaidi
Simple! Kwa sababu wako more realistic. Wanajua wananchi wa Tanzania ni masikini, dawa mahospitalini bado shida, shule hazijawa na miundombinu, maji shida, mishahara midogo, wanashindwa hata kulipa shs. 1,000 ya kodi ya line ya simu kwa mwezi. Halafu uwaambie wagharamie serikali tatu, marais watatu, ikulu tatu, safari za nje marais watatu, ofisi mpya kutosheleza serikali tatu, mabunge matatu, maspika watatu, mahakama tatu, majeshi matatu, polisi tatu, kila kitu tatu...NANI ANAGHARAMIA? KODI KUONGEZWA KWA HUYU MWANANCHI MASIKINI! Nakubaliana nao, gharama hizi mwananchi hataziweza. Labda wananchi hawajaeleweshwa kwamba serikali tatu itakula kwao. serikali haina fedha - inatoza kodi tu - TOKA KWA WANANCHI. Halafu nyie wa bara itakula kwenu zaidi. Zbr watasema hawana uwezo kugharamia serikali ya muungano, kwa udogo wao, uchumi wao - watasema tutoe kama idadi ya watanzania ilivyo (1.3m vs 43.6m), wao watoe 3% ya gharama za serikali ya muungano, bara watoe 97%. Itabidi Bara tukubali ili muungano usivunjike, na hivyo wananchi wa bara tutaumia zaidi. Think twice.
Simple! Kwa sababu wako more realistic. Wanajua wananchi wa Tanzania ni masikini, simu kwa mwezi. Halafu uwaambie wagharamie serikali tatu, marais watatu, ikulu tatu, safari za nje marais watatu, ofisi mpya kutosheleza serikali tatu.
Kama ni kukwepa gharama basi tuwe na serikali moja kama unaona hoja yako ni ya msingi.