Hiki ni kitu halisi, nilikishuhudia Nairobi. Karibu wakenya wote miili yao ina miguu miembamba. Je ni kwamba wanakosa lishe wakati wa malezi?
Hii ni tofauti kabisa na Tanzania na Uganda watu wake wamejaaliwa kuwa na miguu ya bia, na hips kwa wanawake.
Ikiwa kuna mtaalamu naomba atufahamishe sababu.
Hii ni tofauti kabisa na Tanzania na Uganda watu wake wamejaaliwa kuwa na miguu ya bia, na hips kwa wanawake.
Ikiwa kuna mtaalamu naomba atufahamishe sababu.