Kwa nini wakenya wengi wana miguu mwembamba isiyo na uwiano na mwili?

Kwa nini wakenya wengi wana miguu mwembamba isiyo na uwiano na mwili?

Status
Not open for further replies.
sijawahi fika kenya,walifika watuambie ukweli huo
 
Wanaipa Kenya International Recognition and Exposure.

We angalia Kenya inatukimbiza katika sekta ya utalii ingawa sisi tuba vivutio karibu mara tatu zaidi yao..

Jiongeze dingoo
Inatukimbizaje kwenye utalii? naomba uni elimishe chalii yangu
 
Hawakujiumba

Ahaaa haaa haaa
kumbe wee hujui kutengeneza issue. na sisi pia tunachangia kufanya uumbaji. wee mwanamke unajiona kabisa kuwa kifupi kama kistuli, halafu unaolewa na kistuli mwenzako, unategemea mtoto wenu mtakaye mzaa atakuwaje?
Teh teh teh tihiii
kistuli kipeo cha n,
na n~ 1, 2, 3 . . .
 
Hiki ni kitu halisi, nilikishuhudia Nairobi. Karibu wakenya wote miili yao ina miguu miembamba. Je ni kwamba wanakosa lishe wakati wa malezi?

Hii ni tofauti kabisa na Tanzania na Uganda watu wake wamejaaliwa kuwa na miguu ya bia, na hips kwa wanawake.

Ikiwa kuna mtaalamu naomba atufahamishe sababu.
Isipokuwa wachaga! Miili ya wachaga na wakenya vinafanana
 
Hiki ni kitu halisi, nilikishuhudia Nairobi. Karibu wakenya wote miili yao ina miguu miembamba. Je ni kwamba wanakosa lishe wakati wa malezi?

Hii ni tofauti kabisa na Tanzania na Uganda watu wake wamejaaliwa kuwa na miguu ya bia, na hips kwa wanawake.

Ikiwa kuna mtaalamu naomba atufahamishe sababu.


Ndiyo maana uganda na Tanzania hakuna wanariadha kama Kenya, kwa sababu miguu ya watz na waganda ni mizito kama miguu ya Tembo, hiyo ni "genetic issue".
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom