We ni mjaluo?Huoni wakenya na miguu yao membamba wanaleta nyumbani medali za dhahabu kwenye mbio huko olympic n.k
Wachezaji wao akina Marega, Wanyama, "Origi".. Wapo ulaya wanasakata kabumbu na miguu yao membamba..
Sisi wengine miguu hiyo tuichezee kisingeli tu hamna jipya
Tatizo kuu ni ukabila... Unajua ilikuweza kuwa na kuwa na binadamu aliyeimarika lazima itokee mchanyiko kidogo....Ndo maana huwa aishauriwi kuowa kwenye ukoo mmoja...Hawa majirani hawachanganikani kiu kabila...Ndomaana hata akili zao zinazidi kudumaa kadri siku zinavyo kwenda...Hiki ni kitu halisi, nilikishuhudia Nairobi. Karibu wakenya wote miili yao ina miguu miembamba. Je ni kwamba wanakosa lishe wakati wa malezi?
Hii ni tofauti kabisa na Tanzania na Uganda watu wake wamejaaliwa kuwa na miguu ya bia, na hips kwa wanawake.
Ikiwa kuna mtaalamu naomba atufahamishe sababu.
.aka bingwa wa zero replies hapa JF😂😂😂Muulize MK254 labda analo jibu.
Duh.Tatizo kuu ni ukabila... Unajua ilikuweza kuwa na kuwa na binadamu aliyeimarika lazima itokee mchanyiko kidogo....Ndo maana huwa aishauriwi kuowa kwenye ukoo mmoja...Hawa majirani hawachanganikani kiu kabila...Ndomaana hata akili zao zinazidi kudumaa kadri siku zinavyo kwenda...
hogwashTatizo kuu ni ukabila... Unajua ilikuweza kuwa na kuwa na binadamu aliyeimarika lazima itokee mchanyiko kidogo....Ndo maana huwa aishauriwi kuowa kwenye ukoo mmoja...Hawa majirani hawachanganikani kiu kabila...Ndomaana hata akili zao zinazidi kudumaa kadri siku zinavyo kwenda...
Hawakujiumba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo kuu ni ukabila... Unajua ilikuweza kuwa na kuwa na binadamu aliyeimarika lazima itokee mchanyiko kidogo....Ndo maana huwa aishauriwi kuowa kwenye ukoo mmoja...Hawa majirani hawachanganikani kiu kabila...Ndomaana hata akili zao zinazidi kudumaa kadri siku zinavyo kwenda...
Huoni wakenya na miguu yao membamba wanaleta nyumbani medali za dhahabu kwenye mbio huko olympic n.k
Wachezaji wao akina Marega, Wanyama, "Origi".. Wapo ulaya wanasakata kabumbu na miguu yao membamba..
Sisi wengine miguu hiyo tuichezee kisingeli tu hamna jipya
Vipi wewe unavaaga kaptula kweli... au ukivaa bukta unawatisha watoto, wana anza kulia waki hisi wameona kiumbe kutoka Mars [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni kwa nini watanzania wakaongiza dunia mzima kwa uvivu? INA maana kuwa intermarriages kati ya makabila Kule imechangia upungufu huu? mulisaaa una jibu halisi?
Ni Mmasai wa NjiroWe ni mjaluo?
Wanaipa Kenya International Recognition and Exposure.Hizo medali wanagawana??