potential girl
Member
- Aug 7, 2013
- 71
- 15
ukitaka ma.la.Ya wapo C B E,I FM kweli kazi C b E hakuna div 1 au 2 wote ni div 4 na 3 zilizokufa kweli majanja
wew nae ndo umejibu nini hapo mbona povu tu..UDSM imeingiaje hapo:israel::israel:Hongera sana wewe uliefaulu na kumaliza UDSM na first class lakini upo kwenu bush huko mwaka wa 3 mtaani ujielewi elewi unaishije..
Maisha ni zaidi ya kutosoma CBE kijana
Hivi mtu ukimaliza C B E utajiita msomi? Wakati una D 3 za olev umekomaa mpaka masters! Ndo maana product za c b e ni mbovu sana alafu wengi walioferi ndo wapo pale kwanini? Wasipelekwe wakasome kilimo?
Xaxa ivi mmeamia cbe, udom mmepapotezea mi nasubri zamu ya T.I.A
yeye kasema Div 3... hiyo 5 kwani imeanza kufanya kazi?
Umetoswa na kidemu cha hapo nini?
Div 3 mtu anakua kafeli ama?
Wewe nawe kweli hamnazo! mpaka leo haujui maana ya fail? kama haujui fail= Div 0 hauwezi kusema 3 au 4 ni fail maana hizo ni pass.