kWA NINI WALIOFERI WAPO C B E?

kWA NINI WALIOFERI WAPO C B E?

Mtoa mada kwani kilimo ndio hakihitaji watu waliofaulu? Halafu acha kudharau chuo wala mtu yeyote....mradi uelewe namna ya kutumia elimu wanayoipata huko.
 
Hongera sana wewe uliefaulu na kumaliza UDSM na first class lakini upo kwenu bush huko mwaka wa 3 mtaani ujielewi elewi unaishije..

Maisha ni zaidi ya kutosoma CBE kijana
wew nae ndo umejibu nini hapo mbona povu tu..UDSM imeingiaje hapo:israel::israel:
 
Hivi mtu ukimaliza C B E utajiita msomi? Wakati una D 3 za olev umekomaa mpaka masters! Ndo maana product za c b e ni mbovu sana alafu wengi walioferi ndo wapo pale kwanini? Wasipelekwe wakasome kilimo?

Huu muda wa kuandika ujinga huu ni bora ungelala tu
 
Poa xi tnakomaa na cbe yetu kila la kher we uliefaulu ila kak yote maisha!
 
We tahhila kweli, nimepost kutoka na mleta mada alaicho kiandika.. kuna sehemu umeona nime comment kua daraja la tatu ni failed?

Wewe nawe kweli hamnazo! mpaka leo haujui maana ya fail? kama haujui fail= Div 0 hauwezi kusema 3 au 4 ni fail maana hizo ni pass.
 
Back
Top Bottom