Kwa nini wana JF ampendi kuweka avatar zenu halisi?

Ya kwangu ni halisi kabisa walahi!
 
Ungesindikiza uzi wako na avatar yako halisi basi ingekuwa na mantiki...
Weka avatar yenye sura yako halisi au edit uzi wako uusindike na picha yako halisi kisha tuendelee kujadili hoja yako...
Otherwise huu uzi ni kama takataka tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…