Kwa nini wanaume hupenda kumwita mwanamke au msichana "mtoto au baby"????

Kwa nini wanaume hupenda kumwita mwanamke au msichana "mtoto au baby"????

Jamani kaswali kadogo ka kizushi tu lakini kanasumbua ubongo kwelikweli. Hivi ni kwa nini wanaume hupenda kumwita mwanamke au msichana "baby" au "mtoto". Tafadhali wajuzi wa haya masuala watujuze.

hivi ni mwanaume tu anayemuita mpenziwe baby,nimeachwa kariakooo:rain:
 
wanawake ndo wanapenda kuwaita bwana zao baby. Kuna baunsa mmoja miraba mi4 alimmaind dem wake kisa kamuita baby. Dem ikabidi ajitetee hivi; jana we si ulinyonya? Sasa utakataaje Kuitwa baby?
 
mie wangu ananiita mama,na mimi namuita baba.
hatujaoana na hatuna watoto, hii nimeipenda nahisi haitabadilika hata tukiwa na watoto. ila kuitana baby nahisi huwa ina kikomo.
 
Sio jina tu, thats how huyo kiumbe alivyo and how should be handled.Ni hayo tu mkuu:hand:
 
Semantics!a baby is a symbol of beauty,innocence,love,affection............ndo mwanamke anavyokua perceived from ages. but these days inatumika kotekote..
 
Hakuna jipya chini ya jua yote 2nayoyaona yalikuwepo.huo ni ukiritimba na uzungunaization 2 hakuna ki2 mwisho wa cku hotockia baby wala mamaa unajua kuibiwa c mpaka wavunje mlango na bunduki juu.mtazamo wangu japo c lazima muufate ni Unamuita demu wako mamaa,baby ni kumtapeli mwenzio waziwazi na wewe unaekubali kuitwa hvyo ni mjinga muone kwanza baby baby alaa!ningekua kifimbo cheza nyie wote mnaotumia majina hayo ningewachezesha.
HIVI UNASHINDWA KUMPENDA MUNGU WAKO ANAEKUPA UHAI UNAMPENDA MTU ULIEKUTANA NAE TU?
 
hata sisi pia tunaitwaga baby ..unakuta jitu kubwa lkn dem wake anamuita baby
 
Jamani kaswali kadogo ka kizushi tu lakini kanasumbua ubongo kwelikweli. Hivi ni kwa nini wanaume hupenda kumwita mwanamke au msichana "baby" au "mtoto". Tafadhali wajuzi wa haya masuala watujuze.

Hata wanawake/wasichana huwaita wapenzi wao wakiume " Baby"!
 
Nikikuita KICHENCHEDE ntakua nimemkosea huyo mnaemuita BABY?
 
Umenichekesha sana maana niko kwenye mkutano hapa msichana anamwita hus wake Baby mzee mmoja akawa very shocked what?? Najua wewe huna mtoto sasa baby gani huyo unamwita baby?? Akamwambia eti my huby mzee kachoka akamwuliza sasa ukizaa utawaita wote baby baba na mtoto??? You made my day kama uliuwepo au ndo wewe nini?? Maana hii thread kama kuna muhusika mmoja alikuwepo tukidiscus

Sikumoja mtoto wetu wa kike (miaka minne) alituchekesha kweli ...tulikuwa chumbani mi na my wife tukawa tunaongea basi na kuitana baby!!...mtoto wetu akatuangali na kusema why are you calling each bebi bebi stop calling each other bebi!!! tulicheka sana!! Naye pia tunamwita bebi
 
Jamani kaswali kadogo ka kizushi tu lakini kanasumbua ubongo kwelikweli. Hivi ni kwa nini wanaume hupenda kumwita mwanamke au msichana "baby" au "mtoto". Tafadhali wajuzi wa haya masuala watujuze.

Mkuu kwani we hufahamu sifa za mtoto? Ukizijua hutatatanishwa na hili jina "baby"
Mtoto anahitaji upendo na kujaliwa kwa hali zote, mtoto anastahili kuwekwa katika mazingira ya kumfanya aone anapendwa,,, vipo nyingi,,, hivyo basi kumuita dem wako au boyfriend wako "baby" ni kumvika zile sifa za mtoto kwa maana sawa na nilizozitoa hapo juu!
Hope hii itasaidia uelewe!
 
Hakuna jipya chini ya jua yote 2nayoyaona yalikuwepo.huo ni ukiritimba na uzungunaization 2 hakuna ki2 mwisho wa cku hotockia baby wala mamaa unajua kuibiwa c mpaka wavunje mlango na bunduki juu.mtazamo wangu japo c lazima muufate ni Unamuita demu wako mamaa,baby ni kumtapeli mwenzio waziwazi na wewe unaekubali kuitwa hvyo ni mjinga muone kwanza baby baby alaa!ningekua kifimbo cheza nyie wote mnaotumia majina hayo ningewachezesha.
HIVI UNASHINDWA KUMPENDA MUNGU WAKO ANAEKUPA UHAI UNAMPENDA MTU ULIEKUTANA NAE TU?

Kokudo me love you baby!!!
 
halla.....mzima wewe

..aah sasa mbona hujaniita baby! ..mzima lakini..Halafu leo nimefurahi nimekuwa promoted kuwa Senior JF member......hivi kuwa JF Premier Member inakuwaje kuwaje manaake??
 
Back
Top Bottom