MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
...lol,..hata mimi sikubali kiurahisi namna hiyo,...[inategemeana na kosa]...kama umeona nimekosea nambie nikuelewe kwanini unaamini nimekosea, otherwise ukiwa ni mwepesi wa kujenga hoja, utabakia na msimamo wako nami nitabakia na wangu...
Mbu kuna wanaume wengine wanawake kwao huwa always 'hawana' hoja. Hata uijenge vipi katu haitojengeka.....ndio zile za ahhhh utanambia nini mimi wewe?? ni hivyo videgree vyako vya makaratasi ambavyo any Tom Dick and Harry can have them au degree za nguo za ndani/upendeleo?? Kisa yeye ana degree ya Engineering, MBA and other hard science na wewe mke una shahada yako ya ualimu au mambo ya jamii! ....ndio maana nikasema kuna time na time kama wewe mke unataka degree yako ya the so called 'soft science' isikike na ionekane ina 'akili' basi do the timing!!. Otherwise ukiwa unataka kuingiza habari za Emile Durkheim au Max Weber wakati mwenzio ndo anapaisha principles za Speed and Velocity, mambo ya Archimedes Principles sijui Newton's Law of motion makitu gani sijui ..hamtakaa mkubaliane na mtaishia Mbu ana mtazamo wake na MJ1 ana wake juu ya jambo moja ambalo mmoja amekubali kujishusha (most of the time ni MJ1) ili tu kuwe na amani na maisha yaendelee.
Hah.............. ninazo kumbukumbu nyingi tu za haya mabishano ya hivi tena siku nyingine ni over very silly things hadi leo nikikumbuka naishia kucheka. Sometimes nawaonea wivu walioolewa na waume wenye kukubali kushindwa kirahisi but sometuimes nahisi kama ningeboreka maana maisha bila challenges yanabore.
Ninakiri kuwa hakuwa perfect (no one is); he took me for granted (hili sikumsamehe) alininyanyasa (hili simsamehi) lakini ninamshukuru kwani bila yeye nisinge 'kua' kimapenzi na mahusiano..I was so naive. .....yeye ndo kaniweka kwenye mwanga!!! ninampenda kwa hili tu na zawadi ya mtoto mzuri aliyonipatia...........si zaidi ya hapo.
eh leo mmenifungua!! Wewe Nailyne itabidi unipe chupa ya bia maana hapa ni kama vile ninatoa damu kwa Red Cross nahitaji fidia ya damu nirudishe nguvu. hahahah