kwa nini wanawake hawatoi sifa au kukandia?

Kukandia muhimu ila sio zetu wanawake kukandia hadharani
 
http://ardictionary.com/One/1365Mwanamke nikama secretary kwa boyfriend wake, ama mumewe!! kama alivyo secretary asivyoweza kutoa siri za ofisi nje. The one who keeps, or is intrusted with, secrets.

Big up wadada wote na wamama wotee!!!!!!!!!!
 
ok, i am following, am here
 

Mbona huwa zinatoka nyingi. Niliona mmoja ameeleza kumzimia baba mkwe na kueleza jinsi mume wake alivyo mvivu. Mwingine alikuwa anatafuta mbinu za kumnasa mme wa mtu. Tatizo ninaloliona hapa anapotoa hoja mwanamke wanawake wenzake wanakuwa mstari wa mbele kumshambulia na kuhakikisha hoja haiendelei. Utakuta kinamama wamempa majina ya kila aina na kunukuu vifungu kibao vya misahafu kuonyesha jinsi gani alivyo mpambe wa shetwani. Inawezekana hilo linawakatisha tamaa wengine wenye nia ya kupata ushauri kuhusu wanaume au waume zao.
 

Si ndio wanaona aibu jamani? wengine waume na wachumba zao wamo humu kwa hiyo anaona bora achangie kwa kuona aibu kwa hiyo hawezi kuwa mkweli. Ila kuna wengine mbona wanajiachia tu kwa kuwa wawazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…