kwa nini wanawake hawatoi sifa au kukandia?

kwa nini wanawake hawatoi sifa au kukandia?

mnaongeaga sana bana.. utasikia ooh nanii anaboa kweli dk mbili tu ashananiliu....
 
ila wao ndo wana haki ya kutudiscuss na kutudhalilisha? je inapendeza wanaume kuwadiscuss wanawake kwenye ishu za mapenzi?

Hakuna haki dada Carmel huwa wanajishow off kwa wenzao ili waonekane vijogoo.
 
Carmel hujambo?

Mbona swali jepesi sana?

Kwa sababu wanawake wengi ni wanafiki na waongo. Wanataka waonekane watakatifu kwamba hawana uzoefu wa kumegwa na wanaume wa aina mbalimbali....

Ngoja nisiendelee babu nisijie kuzomewa kwa kutoa habari hii.
 
Carmel tusaidie kwa kuanza wewe kufungua ukurasa wa kutueleza in diteil expirienz yako/zako!
 
Nahitaji sana kuelewa hili, mara nyingi humu utakuta topic nyingi zinahusu wanawake wa sehemu fulani sijui watamu, sijui wanajua mapenzi, sijui wanawe utakuta wanaume wanajitoa, wanachangia kweli experience zao na wanawake wa aina mbalimbali, wenye kutoa sifa haya, wenye kutoa dharau nao wapo, sasa nachoshangaa ni kwamba mbona wanawake wao huwa hawatoi experience zao kuhusu wanaume wa mikoa mbalimbali au nchi mbalimbali? sababu ni nini? au wamefundwa kuficha siri za wenzi wao?, au ni aibu? au hawana experience ya kutosha? ( which is understandable maana wanawake si donoa donoa kama wanaume) ni nini haswa?

...mila na desturi zetu za wabantu hazimruhusu mwanamke kuyazungumza mambo hayo hadharani,
nadhani ukiachia salooni, hata kwenye kitchen party zenu kuna nmipaka ya kuongelea mambo haya, au?
Pole Carmel.

Mi nahisi sio hulka ya mwanamke kueleza eleza mambo ya mahusiano kiivo!! Yani utokee mwanamke uanze wanaume wa Kingoni ni watamu!! Mmmmmmh sijui lakini mmmmh!!!

..LOL!, naomba kuamini kama kikohozi nawe umepaliwa tu hapa :wink2:
 
ni kujiheshimu tu,hakuna sifa kueleza mambo ambayo pengine hutaki hata kuyakumbuka kwenye akili yako.....hatuwezi kuwa kama wanaume manake tuko tofauti sana,namna tulivyolelewa,namna tunavyobeba na kuchukulia mambo tofauti.Ila yale ya kawaida tunaweza jadili tu!
 
mtarimbo ume lala doroooo.......hivi yule mwanaume eee
 
Back
Top Bottom