Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
hamjioni,mtu una kibamia hutulii utafikiri una tango,hatupendi muendelee kujiaibisha!
Yeah!
Location : PRISON
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamjioni,mtu una kibamia hutulii utafikiri una tango,hatupendi muendelee kujiaibisha!
Mbona mnatusemaga na vibamia vyetu?
hamjioni,mtu una kibamia hutulii utafikiri una tango,hatupendi muendelee kujiaibisha!
Kwa hiyo mnatusema sio? This sridi is closed!
Weee njoo bana hayo maswali utauliza ukiishafika
ila wao ndo wana haki ya kutudiscuss na kutudhalilisha? je inapendeza wanaume kuwadiscuss wanawake kwenye ishu za mapenzi?
Msaada: Tofauti ya tango na bamia
Kwani Carmel, weye ni wa zone ipi vile? :wink2:
Mbona mnatusemaga na vibamia vyetu?
Nahitaji sana kuelewa hili, mara nyingi humu utakuta topic nyingi zinahusu wanawake wa sehemu fulani sijui watamu, sijui wanajua mapenzi, sijui wanawe utakuta wanaume wanajitoa, wanachangia kweli experience zao na wanawake wa aina mbalimbali, wenye kutoa sifa haya, wenye kutoa dharau nao wapo, sasa nachoshangaa ni kwamba mbona wanawake wao huwa hawatoi experience zao kuhusu wanaume wa mikoa mbalimbali au nchi mbalimbali? sababu ni nini? au wamefundwa kuficha siri za wenzi wao?, au ni aibu? au hawana experience ya kutosha? ( which is understandable maana wanawake si donoa donoa kama wanaume) ni nini haswa?
Mi nahisi sio hulka ya mwanamke kueleza eleza mambo ya mahusiano kiivo!! Yani utokee mwanamke uanze wanaume wa Kingoni ni watamu!! Mmmmmmh sijui lakini mmmmh!!!
Shsssss!! Taratibu basi:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:We ongea kwa sauti tu ngoja mwenyewe asikie utanyimwa unyumba mwaka mzima
mtarimbo ume lala doroooo.......hivi yule mwanaume eee
Sisy....watch your language.....ooooopsssssssss kumbe we ni mwanaume....l.o.l:A S 13:
Sisy....