Kwa nini wanawake huongopeana hivi?

ujaelewwa nin na wewe?aya...ANAKUTAMAN...body km avatar yako zinamsumbua/anazpienda...
Hahahahah Rose long time meeen. Sijakuona bab. Uko poa men?? Nimekusoma mkuu. Sasa hao wanamna hio wapo wengi tuuu siunakumbuka wengine waliendaga Tegeta kuhamisha watu wakauwawa? Ani PM tu, jioni namkutanisha nao
 
Afadhali.......ungesema shosti tungevunja undugu....
 
Mmmhhhhkumbe wanisikilizaga..Kuanzia leo twakuwa tunaendaWote gym...
 
Hata nyinyi wakaka kama unataka kumpata mwanamke kwa urahisi we msifie tu kila siku unayomwona, nywele zako nzuri, migii mizuri, sketi imekukaa vizuri!! You will tell me the results.

Women want to hear sweat words from men....
 

Kweli amemuingiza mkenge mwenzie!!..mtu anayekujali atakwambia ukweli mf. kuwa unapendeza sana na mawigi ila hiyo siyo saizi yako!!
Sasa huyo aliyevaa kituko anajiona kalipuka mbayaa, kumbe kinyume chake!!
 
Heh! Mtu ame2mia half an hour mbele ya kioo akajipa tiki amependeza mimi ndio nimkosoe ina huuu! Kwanza utamfanya akose amani kutwa nzima. Mimi sipendi wale wanaoweka ming'aro ya macho inayo-match na nguo hata kama ni blue,kijani aah! Ila sithubutu kuwakosoa kwa sababu napenda kufanya kazi kwenye harmonious environment.
 
hahahahahahahahahahah sawa bwana!
Umefurahi au umenuna?

Mmmhhhhbabu nawe unavituko..Ntakuletea ugoro baadaye ..
Hebu harakisha fasta...usisahau na mkongojo wa kichina....usiopinsa.... sawa eh?
Kumbe mnajuana humu!!!
Afrodenzi, hebu mjibu huyu mtumishi wa Mungu

Usi stuke sanaKujuana muhimu.Tutakujua na we pia ukipenda lolz
Ewaaaaaa.... Thats my girl...mwambie masharti ya ukaguzi kwanza

MayFair??? tukutane basi hahah!
Karibu sana mkuu, mazoezi muhimu. Tukimaliza mazoezi tunaingia kaunta kupiga ulabu
 
Hahahahaha! Una visa wewe, wigi kama helmet. Lol.
Kuna wengine wanapenda tu kusifiwa, acha tuwasifie maana hatupungukiwi chochote.
 
Hahahahaha lohhh
Umenichekesha kwa kweli..
Nabaki humu humu migodini
Staki kufanya kazi na wanawake wa
hivyo lohhhhh

nakubaliana na wewe! kuna vitu vitatutu migodini, kazi, pesa na ngono.
we pendeza hata ungekua ka malaika hutomzingua mtu, sanasabna ka
ni dem utakua unawaalika majamaa kwako.
 
Nguli umefanana na John Cena kweli dunia wawili wawili..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…