Niko hapa Regancy Hospital, nasubiri kumuona Doctor, kwa ajili ya matibabu......................Lakini naendelea vizuri.
Haijalishi nimemsimulia huyo shoga habari zangu au au ni umalaya wake tu unamsumbua au tamaa zake za kijinga,huyo mwanaume akitegwa na kutoka na huyo shoga au ndugu yangu naye hafai ni malaya tu.
Mwanaume yoyote mwenye busara kwanza hatotoa mwanya wa kuzoewa hovyo na mwanamke yoyote asiye ndugu yake yeye,na kamwe huwa hategeki na mwanamke yoyote isipokuwa mkewe/gf wake.
Binafsi hapa mwenye tatizo ni huyo mwanaume,kwann ategwe na kukubali kutegeka?
mimi hiyo biashara sina nilishaifutia mbali siku nyingi maana unaweza hesabu hasara kuliko faida.
Haijalishi nimemsimulia huyo shoga habari zangu au au ni umalaya wake tu unamsumbua au tamaa zake za kijinga,huyo mwanaume akitegwa na kutoka na huyo shoga au ndugu yangu naye hafai ni malaya tu.
Mwanaume yoyote mwenye busara kwanza hatotoa mwanya wa kuzoewa hovyo na mwanamke yoyote asiye ndugu yake yeye,na kamwe huwa hategeki na mwanamke yoyote isipokuwa mkewe/gf wake.
Binafsi hapa mwenye tatizo ni huyo mwanaume,kwann ategwe na kukubali kutegeka?