Kwa nini wanawake husalitiwa na mashoga zao kirahisi?

Kwa nini wanawake husalitiwa na mashoga zao kirahisi?

Haijalishi nimemsimulia huyo shoga habari zangu au au ni umalaya wake tu unamsumbua au tamaa zake za kijinga,huyo mwanaume akitegwa na kutoka na huyo shoga au ndugu yangu naye hafai ni malaya tu.
Mwanaume yoyote mwenye busara kwanza hatotoa mwanya wa kuzoewa hovyo na mwanamke yoyote asiye ndugu yake yeye,na kamwe huwa hategeki na mwanamke yoyote isipokuwa mkewe/gf wake.
Binafsi hapa mwenye tatizo ni huyo mwanaume,kwann ategwe na kukubali kutegeka?

Labda kuna kitu kamzidi mkewe. Mwanaume huwa hamtokei hivihivi tu mwanamke. Mapenzi ya mwanaume yanaishi machoni, halafu mengine hufuata baadae.
 
mimi hiyo biashara sina nilishaifutia mbali siku nyingi maana unaweza hesabu hasara kuliko faida.

Another victim of ushoga. Pole bibie na huo uamuzi uloufanya ni mzuri zaidi, maana uimara wa meno ya fisi haujaribiwi kwa mifupa.
 
Wenyewe wanakwambia, '' kizuri kula na nduguyo, kibaya mtupie mbwa''.....Kwa hiyo lazima aonje anachofaidi shoga yake!
 
Haijalishi nimemsimulia huyo shoga habari zangu au au ni umalaya wake tu unamsumbua au tamaa zake za kijinga,huyo mwanaume akitegwa na kutoka na huyo shoga au ndugu yangu naye hafai ni malaya tu.
Mwanaume yoyote mwenye busara kwanza hatotoa mwanya wa kuzoewa hovyo na mwanamke yoyote asiye ndugu yake yeye,na kamwe huwa hategeki na mwanamke yoyote isipokuwa mkewe/gf wake.
Binafsi hapa mwenye tatizo ni huyo mwanaume,kwann ategwe na kukubali kutegeka?

Hapo kwenye bluu hapo hapana. Busara unazozungumzia wewe ni zipi? Sisi wanaume ni wadhaifu zaidi ya wanawake linapokuja suala la ngono zembe. Yaani mwanamke akimtega mwaume, hata huyo mwanaume angekuwa jemedari wa jeshi lazima atainguia kingi tu. Busara na msisimko wa mwili vinahusiana vipi? Busara zake zitarudi akiwa kashamaliza kazi ya kuchakachua! Unafanya mchezo na uroda wewe eeeeh?
 
Back
Top Bottom