Kwa nini wanawake siku hizi wanaachika mapema?

Ndoa za siku ni mashindano, hakuna uvumilivu, kila mtu ana lake hakuna ushirikiano, jino kwa jino, adabu zimepungua kwa wote, mke na mume hawaheshimiani. Kwa upande mwingine nafikiri na ufinyu wa uelewa kiroho haupo.

Watu tunashindwa kuelewa kwamba kila mtu ana tabia zake, ni kiasi cha kukaa chini nakuongea huku mkiangalia wapi mrekebishe. siku hizi watu wanachoka mapema, akishauri mara moja mtu haelekei basi anaanza kufanya mambo tofauti, mwenzi wake akiona nae anajibu pigo mnabaki kuwa mashetani.
 
Tena mi naona wanaume ndo chanzo kuvunjika kwa ndoa, kama unavyosema mwenyewe. Mwanamke anaachwa, sasa kwa nini ninyi mnaacha wake zenu?
 

Cheers Simbamwene!
 
Simbamwene una akili, hongera kwa ufahamu ulio nao juu mwanamke na dunia tulio nayo sasa.
 
Simbamwene una akili, hongera kwa ufahamu ulio nao juu mwanamke na dunia tulio nayo sasa.
<br />
<br />
Mh kama wanawake wamekua wajanja unadhani ndo chanzo cha wao kuaachika mapema?au kunasababu, may b SIMBA utusaidie
 
Baba Mngoni mama Chagga
@ NYC USA :majani7::majani7:


Kwanini wanaume na wanawake wanaachana?? :majani7::majani7::majani7:
 
<br />
<br />
Husomeki brazaa.
 
Nadhani sahihi ni kuwa wanaachana na si kuwachika pekee. Inasababishwa na maadili kushuka na watu kutofuata maamrisho ya haki.
 
Kwanini useme wanawake peke yao na sio ndoa za siku hizi hazidumu???
Swali lako Dena ni la msingi lakini kwa utamaduni wa Kiafrika ndoa inahusisha kuoa na kuolewa!Ndoa inapovunjika kunatokea kuachwa na kuacha!Mwanaume huacha na mwanamke huachwa!Hivyo basi mtoa mada nae ana hoja ya msingi kusema wanawake wanaachika!
 
"wanaachika" ??
kwa upeo wangu mdogo anayeachika ni yule aliyechoka/mwagwa kwenye uhusiano, regardless jinsia yake ni ipi, mwanamke baada ya makwazano mume anaweza kukuacha, na mwanaume baada ya makwazo mke anaweza kukuacha!!!!

back to the topic, sababu zaweza kuwa nyingi, mojawapo ni kutoridhika kwa wanaume au kukosa msimamo kwa mwanaume(i.e mwanaume kutokujua anachotaka maishani...)
 
Nimewahi sikia kuwa ndoa za watu wa pwani (samahani kwa waliokereka) ndio zisizodumu, na mwanamke kuolewa na kuachika kwao ndio sifa................
 
Mie naona wanaume siku hizi ndo wanaachika mapema..
 
1. Tofauti ya makabila hasa malezi, uelewa wa maisha, mazingira alikopitia.
2. Viburi
3. Pesa na madaraka
4. Life style ya mwanamke inapokuwa ni kero kwa mwanaume!
 
Nimewahi sikia kuwa ndoa za watu wa pwani (samahani kwa waliokereka) ndio zisizodumu, na mwanamke kuolewa na kuachika kwao ndio sifa................

Hujakosea, sababu wanajuwa haki zao za ndoa. Ukiwaletea fyuku nyuku wanakitowa. Na pia uelewe, wengi wa watu wa pwani ni waIslaam, kwao kuachana ruksa. Halazimishwi mtu kubaki katika dhimma hata kama hakuna maelewano.
 
sababu kweli ni nyingi,
ila kwa kuwa unataka tu sababu ya wale wanawake 'wanaoachika' sio ndoa zinazovunjika, basi mie naona sababu kubwa ni wawake wamepungua uvumilivu,
- wanaonysha dharau wazi kwa wanaume walio kama mabinti
- wanaonyesha ukweli kuwa wanaweza maisha, hawaogopi
- wanaonyesha wazi kuwa sio kila kitu wanaume wanachosema ni cha maana
- wanajikuta wana interest nyingine tofauti na kunyenyekea pasipo shukrani
mara nyingi ukitazama wanaume wenye 'kuachisha' wanawake ni wale wasio na confidence za kutosha, wasiotaka challenges, wenye kudhani mwanamke wa leo ni mbumbumbu na ataamini kila anachosema, hana interest zaidi ya kujipendekeza kwa mume.
Hakuna mwanamke aliolewa na mwanaume kweli akaachika, labda kichaa.

Mwaume kweli nina maana - confident, ana upendo, ana akili kichwani mwake, ana direction ya maisha, amlelewa na akaleleka, ana kipato cha kulea familia, ana kauli ya kutoa nyoka pangoni
 
<br />
<br />
Kwel wewe "umechakaa" haiitaji tochi wala miwani il tuweze kuliona ilo.
 
tunaachana hatuachiki,<br />
tukichoshwa na uchakachuaji wa mapenzi tunasepa tumechoka kuvumilia mateso
<br />
Kwel wanawake mmekua wajanja,ila hata ili ukibisha ctaona ujanja wako hata KIDOGO
<br />
 
Hujakosea, sababu wanajuwa haki zao za ndoa. Ukiwaletea fyuku nyuku wanakitowa. Na pia uelewe, wengi wa watu wa pwani ni waIslaam, kwao kuachana ruksa. Halazimishwi mtu kubaki katika dhimma hata kama hakuna maelewano.
<br />
<br />
FaizaMBWAA WE MTATA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…